mgen
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 22,633
- 8,417
Tatizo la Libya na Ukraine halina mlinganoWote wezi tu , Unadhani hizo sababu ulizo ambiwa ndio sahihi !? Wakati zimetungwa na wao wenyewe!?
Tatizo la Libya na Ukraine halina mlinganoWote wezi tu , Unadhani hizo sababu ulizo ambiwa ndio sahihi !? Wakati zimetungwa na wao wenyewe!?
Si unajua bomu moja la satan linateketeza ufaransa yote?mkuu vita ni uchumi na technology acha utan kbs hata knachomfanya myahud awe na kiburi pale mashariki ya kati ni tech na uchumi.
Urusi ni ngumu sn kushnda vita ikiwa nato na marekan kwel wameamua kupgana vita kamili acha utani kbs
si kweli hajawahi ila alivamia eneo moja amelikalia na ukraine bdo anataka kulirudsha awamu hii putin naona anataka kuongeza eneo tena kama myahudi anachokfanya kule kwa waarabu. Ndo nato na marekani wameamua kumkingia kfua ukraine mpira upo kati kila mmoja yuko mpakani kajiandaa lakn mpk dk hz urusi hajakanyaga huko yuko mpakani huko wanabwekeana tu.Kwani Ukraine urusi sialishaivamia na kuikalia kimabavu!? (Naomba kufahamishwa)
Hili dude linaeza angamiza kabisa bara zima kwa dakika kadhaa tuu🙄Si unajua bomu moja la satan linateketeza ufaransa yote?
😂😂😂Na sisi Tanzania tupeleke mitumbwi yetu tumsapoti mwanetu putin
Hapo nchumbiji tunapiga demo ya mazoezi tu,mziki wenyewe na makomandoo wetu wa kuvunja matofali tunawapeleka kumsaidia mwanetu wa dam putin😂😂😂
Labda tupeleke hiyo mitumbwi hapo msumbiji kukabiliana na wale wapiganaji wanaochinja watu kuanzia kichogoni
Nakuambia hivi yote Ni masuala ya ubabe tu na wizi /Tamaa ya Mali hizo nyingine huwa Ni propaganda tu ,Tatizo la Libya na Ukraine halina mlingano
una masihara ujue yaani unaichukulia Russia Kama yemen, Tusubiri tuone mwisho utakuwaje ndio uje na hizi argument zakosi kweli hajawahi ila alivamia eneo moja amelikalia na ukraine bdo anataka kulirudsha awamu hii putin naona anataka kuongeza eneo tena kama myahudi anachokfanya kule kwa waarabu. Ndo nato na marekani wameamua kumkingia kfua ukraine mpira upo kati kila mmoja yuko mpakani kajiandaa lakn mpk dk hz urusi hajakanyaga huko yuko mpakani huko wanabwekeana tu.
Tupe nondo mkuu hasa hiyo paragraph ya pili,ni muhimu sana tujue mambo hayaNakuambia hivi yote Ni masuala ya ubabe tu na wizi /Tamaa ya Mali hizo nyingine huwa Ni propaganda tu ,
Wewe unadhani kwanini The hegue walisema USA achunguzwe !?
Putin jumapili aliwaonya Ukraine kuwa kitendo cha kushambulia lile eneo ambalo ni chanzo cha ugomvi anasema kitapelekea siku chache zijazo Ukraine yote kuwa chini ya Urusimkuu vita ni uchumi na technology acha utan kbs hata knachomfanya myahud awe na kiburi pale mashariki ya kati ni tech na uchumi.
Urusi ni ngumu sn kushnda vita ikiwa nato na marekan kwel wameamua kupgana vita kamili acha utani kbs
sina maana iyo mkuu siwez idharau urusi hata kdogo wkt ni ya pili dunian kwa nguvu za kjeshi kama n ya pili maana yake yupo wa kwanzauna masihara ujue yaani unaichukulia Russia Kama yemen, Tusubiri tuone mwisho utakuwaje ndio uje na hizi argument zako
Putin jumapili aliwaonya Ukraine kuwa kitendo cha kushambulia lile eneo ambalo ni chanzo cha ugomvi anasema kitapelekea siku chache zijazo Ukraine yote kuwa chini ya Urusi
Urusi ni taifa la kibeberu na vamizi, ni muhimu Nato kuilinda Ukraine.Putin jumapili aliwaonya Ukraine kuwa kitendo cha kushambulia lile eneo ambalo ni chanzo cha ugomvi anasema kitapelekea siku chache zijazo Ukraine yote kuwa chini ya Urusi
Mrusi yuko ndani ya Ukraine mda mrefu sana anzia 2013 huko..ila yuko kama hayuko ile mabeberu wanaita hybrid warfare..kichapo cha kijeshi kutoka kwa "waasi", vita ya uchumi, vita vya kimtandao (cyberwarfare) pamoja pia kuchukua jimbo la crimea. Sababu kubwa ni kwamba ukraine magharibi wanataka kujiunga na NATO (wakifanikiwa basi NATO itakuwa inapakana uso kwa uso na urusi jambo ambalo Putin ameapa halitatokea)..Lakini kwa upande mwingine wa ukraine wenyewe wameharibu kwani wamewatenga wenzao wa majimbo ya mashariki wanaongea kirusi (hakuna lugha ya kirusi kutumika mashuleni kwenye tv, radio nk..kifupi kufuta kabisa mila tamaduni na historia yao).Binafsi kwa hili tukio la juzi sioni urusi kosa lake nini manake majeshi ni yake na yako ndani ya ardhi ya urusi popote yatakapolekwa ndani ya urusi haiwahusu NATO kabisa. ni kama vile wabongo tupeleke majeshi kigoma jumuiya ya africa iseme tutachezea kichapo kwann tumepeleka majeshi kigoma...Lakini la mwisho kabisa haitatokea KAMWE NATO/Marekani wapigane na urusi (au urusi ipigane na NATO/Marekani) vita ya moja kwa moja/uso kwa uso (labda vita za kutumia waasi wakati wenyewe wamekaa kando) kwa kuwa huo ndo utakuwa mwisho wa dunia hii tunayoifahamu sasa manake wote wana silaha za nyuklia za kuangamiza hii dunia zaidi ya mara ishirini (yaani dunia kama yetu ziwe ishirini hivi)..mwishowe watapigana mikwara vikwazo kisha watakaa mezani waongeesina maana iyo mkuu siwez idharau urusi hata kdogo wkt ni ya pili dunian kwa nguvu za kjeshi kama n ya pili maana yake yupo wa kwanza
nlichosema ni kwmb iktokea vita kamili kati ya urusi na washrika wake na marekan na washrika wake ukwel n kwamba urusi hiyo vita hawez shnda hapa tutabshana kshabk tu ingawa baada ya vita kuna mataifa yatakuwa yamepotea kbs
Na wewe unanishangaza kuwabeza nato na marekani na isingekuwa nato na marekan kusogea pale ukraine kwa jeuri ya putin angeshaingia ukraine muda mrefu sana lakn unadhan yeye haijui nguvu ya nato na marekani
mtu wake wa hv karibun turkey ameshamsaliti yuko upande wa ukraine
Vita ni uchumi na tech urusi hana uchumi wa kupgana na hao mabeberu hata kwa miez 4 tu kwa mujbu wa data za kiuchumi dunian kuna majmbo tu ya marekan yanaizd urusi uchumi.
Kuhusu tech hasa za kvta huwa nafatilia pia kati ya marekan na urusi iko waz mrusi ameonekana kufanya vzuri sn kwny vifaru na air defence haya ma s yake
Lakn linapokuja swala ndege marekan yuko mbali sn urusi hamgusi kiujumla vita ya anga marekan ni hatari ndo maana putin anapambana kuboresha air defence
kuhusu hayo mabalistics hayo hata marekan anayo ya kutosha ila ni swala la timing tu.
Tukileta ushabiki humu ndo yale eti north korea anaweza mpga marekan au iran anaweza mpga marekani huu ndo ushabk tu ila ukweli mtu wa kumtetemesha marekan ni urusi tu uyo mchina ni mrembo sn ndo maana katshwa kdogo tu khs hongkong kanywea taiwan ndo hawez jaribu kbs.
Mkuu mambo yanaenda kwa history juzi tu hapa tumejionea, hao Nato kikiumana huwa wanakaa mbali sana kama walivyofanya miaka michache iliopitaHali ni mbaya huko usisahau kusema hvyo ni vitsho tu vngnevyo putin ni mtu hatari angeshaingia ukraine na alidhamilia kuingia kbs na mpk muda huu angekuwa yupo ndan ya ukraine hli halina ubsh lakn kumbuka urus nae tyr ameshaogopa kwenda kchwa kchwa sbb tyr nato na marekan wapo huko akienda kchwa kchwa hyo vita itachukua muda mrefu kuisha na itakuwa shda kwa urusi pia so wanabwekeana tu. Kwan ukraine nae kasema yuko tyr zchapwe.