Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 7,194
- 10,929
Kama ilivyotabiriwa hapo mwanzo kuwa Ukraine haitoweza kuendeleza vita na Urusi baada ya muda si mrefu.
Hali hiyo sasa imefika wakati wake ambapo vijana waliotarajiwa kujiunga na jeshi sasa wanakimbia kwa mbinu zote kuelekea mataifa ya nje.hasa Moldova, Poland na Hungary.
Baada kuona wakipita mipakani huwa wanazuiliwa kuendelea na safari.sasa wamebadili mbinu ambapo wengine wanatumia kiza cha usiku kukata mbuga.wengine huamua kuogolea kuvuka mto.
Hali hiyo sasa imefika wakati wake ambapo vijana waliotarajiwa kujiunga na jeshi sasa wanakimbia kwa mbinu zote kuelekea mataifa ya nje.hasa Moldova, Poland na Hungary.
Baada kuona wakipita mipakani huwa wanazuiliwa kuendelea na safari.sasa wamebadili mbinu ambapo wengine wanatumia kiza cha usiku kukata mbuga.wengine huamua kuogolea kuvuka mto.