Uwekezaji wa majengo haulipi

Uwekezaji wa majengo haulipi

Kwa nini hoteli nyingi zinachakaa wakati zinaingiza fedha?
Kwa sababu hata hizo biashara unazosema zinachakaa wakati zinaingiza fedha.

Nikiwa Manispaa fulani jijini Dar alikuja brother kutoka Dodoma akajenga kwenye kiwanja alinunua kwa 46M mwaka 2018. Akajenga rentals 10 units chumba self na jiko uchwara kwa kutumia milioni 80 na chenji. Mwenyewe yuko kwenye mid 40s.
Jumla hapo katumia 126M+.

Hizo nyumba anapangisha 130k kama mbili hivi na 150k nyingine.
130k×2=260,000
150k×8=1,200,000
Total 1,460,000 kwa mwezi.

Nyumba za kupangisha inategemea na quality ila nina family relative namjua tangu nahitimu sekondari nilimkuta amejenga nyumba mpaka naandika hapa hajawahi zirekebisha lolote wala kubadili mifumo ya umeme wala maji, kwanza hayupo hata nchini. Miaka 10+.

Sasa huyo brother 1,460,000 wa kwa mwezi kwa mwaka ni 17.52M. Kwa miaka 10 ni 175.2M. Sasa cha ajabu ni kwamba eneo lilelile aliponunua ardhi, pembeni kiwanja kingine (exactly nusu ya kama alichojenga) kimeuzwa last year July kwa 45M nikiwepo. Maana yake yeye kiwanja pekee chenye units 10 hata ukizibomoa zote kinabaki na thamani ya 70M kwa bei ya July 2025, kimepanda thamani mara mbili ndani ya miaka 7.

Miaka 10 ijayo kiwanja chake kitakuwa na about 150M valuation. Kodi atakayokusanya ndani ya miaka 10 atakuwa na 175.2M. Total 325.2M.

Sasa hapo ukitoa miezi michache bila wapangaji, yuko mjini sehemu hot. Na miezi michache ya kusamehe kodi wapangaji wasumbufu. Bado anabaki na faida.

Alafu sasa anaweza kopea hicho kiwanja mkopo akafanya hizo biashara zako unazosema haziziki hela. Alafu baada ya miaka 10 umkute hajakarabati nyumba useme hela haikurudi ndio maana kaziacha. Kumbe ameishajifia watoto wake ni vilaza wanalewea pombe, sasa assume hao walevi angewaachia duka la vipuri au bar. Mwaka mwingi duka limepukutika.
 
Kwa sababu hata hizo biashara unazosema zinachakaa wakati zinaingiza fedha.

Nikiwa Manispaa fulani jijini Dar alikuja brother kutoka Dodoma akajenga kwenye kiwanja alinunua kwa 46M mwaka 2018. Akajenga rentals 10 units chumba self na jiko uchwara kwa kutumia milioni 80 na chenji. Mwenyewe yuko kwenye mid 40s.
Jumla hapo katumia 126M+.

Hizo nyumba anapangisha 130k kama mbili hivi na 150k nyingine.
130k×2=260,000
150k×8=1,200,000
Total 1,460,000 kwa mwezi.

Nyumba za kupangisha inategemea na quality ila nina family relative namjua tangu nahitimu sekondari nilimkuta amejenga nyumba mpaka naandika hapa hajawahi zirekebisha lolote wala kubadili mifumo ya umeme wala maji, kwanza hayupo hata nchini. Miaka 10+.

Sasa huyo brother 1,460,000 wa kwa mwezi kwa mwaka ni 17.52M. Kwa miaka 10 ni 175.2M. Sasa cha ajabu ni kwamba eneo lilelile aliponunua ardhi, pembeni kiwanja kingine (exactly nusu ya kama alichojenga) kimeuzwa last year July kwa 45M nikiwepo. Maana yake yeye kiwanja pekee chenye units 10 hata ukizibomoa zote kinabaki na thamani ya 70M kwa bei ya July 2025, kimepanda thamani mara mbili ndani ya miaka 7.

Miaka 10 ijayo kiwanja chake kitakuwa na about 150M valuation. Kodi atakayokusanya ndani ya miaka 10 atakuwa na 175.2M. Total 325.2M.

Sasa hapo ukitoa miezi michache bila wapangaji, yuko mjini sehemu hot. Na miezi michache ya kusamehe kodi wapangaji wasumbufu. Bado anabaki na faida.

Alafu sasa anaweza kopea hicho kiwanja mkopo akafanya hizo biashara zako unazosema haziziki hela. Alafu baada ya miaka 10 umkute hajakarabati nyumba useme hela haikurudi ndio maana kaziacha. Kumbe ameishajifia watoto wake ni vilaza wanalewea pombe, sasa assume hao walevi angewaachia duka la vipuri au bar. Mwaka mwingi duka limepukutika.
Biashara za miaka 10 zilishapitwa na wakati, mfano; leo hii jf wakiweka ada ya kwa mwezi shilingi 1000, kuna uwezekano wakawa wanapiga milioni 500 kila mwezi.
 
Ungekuwa na nia ya kuelewa ungejifunza kwanza kabla uya kuja kuandika hapa. Hata hivyo nitakupa dondoo chache.

1. Kwanza maintenance ya nyumba inafanyika baada ya miaka 15 au zaidi. Siyo kila baada ya miaka 5. Nyumba iliyojengwa vyema miaka. 10 bado mpya kabisa. Kwenye hotel unaweza badilisha furnitures baada ya miaka 6 to 7. Lakini rangi na fittings baada ya miaka 15. Cha msingi utumie mafundi wazuri na materials zenye ubora.

2. Nyumba ni uwekezaji wa muda mrefu. Hapa tunaongelea rerurn on investment (ROI) ya miaka 8 - 15 kutegemea na matumizi ya nyumba. Hotel/Lodge zinarudisha fesha haraka zaidi.

3. Ukijenga nyumba ya kupangisha ukiwa na miaka 40, ROI ya 10 years.. Ukabahatika kuishi miaka 60, 70 tayari unakula matunda ya uwekezaji wako.
4. Nyumba inaongezeka thamani ni kweli ingawa mimi binafsi hili huwa siliweki maanani, na siyo kipambele changu.

Sasa ngoja nikupe mfano
Mfano: Nunua kiwanja 30-50m. Tufanye 50m Weka. Nyumba 3, 2 za 2-bedroom na 2 za 1 bedroom na sebule, jiko choo. Fanya simple but quality., finishing nzuri. Hizi nyumba zitagharimu kiasi cha 80m. Kwa hiyo jumla ya uwekezaji wako ni 130m. Za 2 bedroom utapanganisha kwa 250,000 na bedroom utapangisha kwa 200,000. Makusanyo kwa mwezi 900,000. Jumla ya makusanyo baada ya miaka 10 ni. Kama 108m. Ni. Kwelihaijarudisha fedha. Lakini wenzako wanacholifanya hizo fedha za kodi kidogo kidogo wanaenda ku zi invest kwenye UTT na sehemu zingine za uwekezaji. So piga hesabu kama unawekeza 900000 kila mwezi kwa miaka 10.

tena utamu wa bongo nimkwamba unapokea pesa ya miezi 6 au 3 hivyo unawekeza fedha ambayo ungeioata miezi 6 ijayo ila wewe umpeipata leo na ku invest leo.

Kaa na maujinga yako.
Mahesabu yako nimeyapitia, ila ebu jiulize swali, mfano leo hii jf wakaamua kututoza ada ndogo tu kwa mwezi sh. 1000 unahisi wanaweza kutengeneza kitu gani? Ni zaidi ya milioni 500/mwezi, Hii ndio maana halisi ya 80/20 rule
 
Biashara za miaka 10 zilishapitwa na wakati, mfano; leo hii jf wakiweka ada ya kwa mwezi shilingi 1000, kuna uwezekano wakawa wanapiga milioni 500 kila mwezi.
JF ilianza mwaka 2006 isingekuwa na malengo ya muda mrefu ungekuwa Facebook na wenzako mnasoma story za Idi Makengo. Mimi ningekuwa Quora na Reddit.
 
80/20 rule unaifahamu inavyofanya kazi?
Na ukasome debt financing, pia usome diversification. Maana unaamini aliyejenga nyumba za biashara aliokota hela tu hivyo hana kitu cha kufanya kilichompa hiyo hela.

Unajua kuwa mtoto wa Bakhressa amejenga mji kabisa, achana na nyumba? Umeisikia ile Fumba town? Sasa huyo ni mtoto wa rich family ambaye ana access na mabilioni ya mitaji, ameishafanya mitambo, logistics, production, supply, importation, food packaging na mambo chungu nzima ila kawekeza kwenye nyumba. Wewe ukute ukoo wa wakulima wa viazi unapinga vikali real easte. Kijana badilika.
 
Na ukasome debt financing, pia usome diversification. Maana unaamini aliyejenga nyumba za biashara aliokota hela tu hivyo hana kitu cha kufanya kilichompa hiyo hela.

Unajua kuwa mtoto wa Bakhressa amejenga mji kabisa, achana na nyumba? Umeisikia ile Fumba town? Sasa huyo ni mtoto wa rich family ambaye ana access na mabilioni ya mitaji, ameishafanya mitambo, logistics, production, supply, importation, food packaging na mambo chungu nzima ila kawekeza kwenye nyumba. Wewe ukute ukoo wa wakulima wa viazi unapinga vikali real easte. Kijana badilika.
Kujenga majengo hakuna shida, je hizo hela ulizowekeza zitarudi baada ya miaka mingapi?
 
Ile kodi unayoipata pale sio faida, unatakiwa utoe gharama zote za uendeshaji ndipo ujilipe kama faida. Ni sawa na umenunu basi kwa milioni 300 na ukaliweka barabarani, ile nauli ya abiria sio faida. Faida itapatikana baada ya kutoa fedha uliyowekeza.
Sasa unadhani ni biashara gani ambayo ukiwekeza ina guarantee ya faida 100% na unaanza kula faida muda huo huo?
 
Kuna kitu watu wanashindwa kutenganisha thamani ya ardhi na uwekezaji wake ambao uko juu ya hiyo ardhi.

Kwanza ardhi pia inasifa ya kupanda na kushika thamani kulingana na sababu mbali mbali, zikiwemo kuhama Kwa mji, Vita ni

Uwekezaji wa nyumba za kupangisha Kwa sasa ni kama trend Kila mtu anataka kuwekeza huko sijui nini kimetokea ila baada ya miaka kadhaa tutapata majibu.
Risk free.
Mtu hata awe mwizi kiasi gani hawezi kuiba nyumba na kukimbia nayo ila biashara zingine msaidizi wako akiamua tu siku moja anabeba mzigo wote na kupotea nao kisha unakuwa maskini tena.
 
Kuwekeza kwenye majengo ni sawa na fedha zako kuzifukia sehemu, na kuanza kuila kidogo kidogo mpaka iishe.

Na kula huko unakuwa hauli faida zaidi ya kula mtaji (fedha ulioiwekeza). Wengi ukimbilia kujenga nyumba za kupanga, 'apartment', hoteli, nyumba za kulala wageni n.k huku wakijipa matumaini majengo hayo yatawalipa na kupata faida zaidi na zaidi.

Kwa ujumla majengo hayo uwapa hasara, vinginevyo mmiliki hatonufaika zaidi ya kizazi chake kijacho ambacho ndio kitakuwa kinakula faida baada ya miaka kadhaa kupita.

Ukitaka kuamini hili, tembelea nyumba za kupanga, 'apartment', hoteli, nyumba za kulala wageni n.k zipe miaka mitano alafu ukazitembelee tena, utazikuta zimechoka na kama hakutokuwa na hela ya ziada ya ukarabati, ndio hivyo biashara inakuwa imekufa.​
kila biashara ina changamoto zake. namfahamu mtu ame inject 1+ bil tzs kwenye hiyo biashara pale Kariakoo na Upanga, mtaji haujarudi bado ila baada ya miaka chini ya kumi utakuwa umerudi. ni commitment tu.
 
Kwa sababu hata hizo biashara unazosema zinachakaa wakati zinaingiza fedha.

Nikiwa Manispaa fulani jijini Dar alikuja brother kutoka Dodoma akajenga kwenye kiwanja alinunua kwa 46M mwaka 2018. Akajenga rentals 10 units chumba self na jiko uchwara kwa kutumia milioni 80 na chenji. Mwenyewe yuko kwenye mid 40s.
Jumla hapo katumia 126M+.

Hizo nyumba anapangisha 130k kama mbili hivi na 150k nyingine.
130k×2=260,000
150k×8=1,200,000
Total 1,460,000 kwa mwezi.

Nyumba za kupangisha inategemea na quality ila nina family relative namjua tangu nahitimu sekondari nilimkuta amejenga nyumba mpaka naandika hapa hajawahi zirekebisha lolote wala kubadili mifumo ya umeme wala maji, kwanza hayupo hata nchini. Miaka 10+.

Sasa huyo brother 1,460,000 wa kwa mwezi kwa mwaka ni 17.52M. Kwa miaka 10 ni 175.2M. Sasa cha ajabu ni kwamba eneo lilelile aliponunua ardhi, pembeni kiwanja kingine (exactly nusu ya kama alichojenga) kimeuzwa last year July kwa 45M nikiwepo. Maana yake yeye kiwanja pekee chenye units 10 hata ukizibomoa zote kinabaki na thamani ya 70M kwa bei ya July 2025, kimepanda thamani mara mbili ndani ya miaka 7.

Miaka 10 ijayo kiwanja chake kitakuwa na about 150M valuation. Kodi atakayokusanya ndani ya miaka 10 atakuwa na 175.2M. Total 325.2M.

Sasa hapo ukitoa miezi michache bila wapangaji, yuko mjini sehemu hot. Na miezi michache ya kusamehe kodi wapangaji wasumbufu. Bado anabaki na faida.

Alafu sasa anaweza kopea hicho kiwanja mkopo akafanya hizo biashara zako unazosema haziziki hela. Alafu baada ya miaka 10 umkute hajakarabati nyumba useme hela haikurudi ndio maana kaziacha. Kumbe ameishajifia watoto wake ni vilaza wanalewea pombe, sasa assume hao walevi angewaachia duka la vipuri au bar. Mwaka mwingi duka limepukutika.
Hawa watu sasa hivi tunawaacha na hizi thread zao maana hata ukiwapa mifano hai wanaumia watabaki kusema unajimwambafai. ASIEJUA MAANA HAAMBIWI MAANA.
 
Watanzania biashara au uwekezaji wetu huwa tunafikiria kwa muda mfupi, na muda wote tunataka super profit tena kwa muda mfupi iwezekanavyo. Ndiyo maana unakuta dalali anataka akiuza nyumba, ile faida anayopata akajenge nyumba yake. Ndiyo, najua shilingi yetu huteremka thamani sana, lakini duniani kote ukiwekeza kwenye nyumba huwezi kutegemea fedha ulizojengea zirudi kwa muda mfupi. Chukulia hivi. Nyumba haishuki thamani, na ile kodi unayochukuwa kila mwezi ndiyo faida yako. Yaani kama unachukuwa milioni mbili, basi hiyo ndiyo faida yako, na mtaji wako unabaki kama ulivyo. **nyumba ikijengwa kitaalam na eneo zuri inachukuwa muda kufanyiwa marekebisho makubwa. Kutoka kwenye kodi weka asilimia ndogo kila mwezi ambayo itafanya ukarabati wakati ukifika. Ila ukijenga kibongo-bongo miaka 10 tu unakuta nyumba inadai kubomolewa ijengwe nyingine.
Mkuu umeongea vema.
 
Recoup katika real estate ni miaka 8-15. Hivyo unapofanya uwekezaji katika eneo hili unapaswa kulijua hili.
Kuhusu kulipa au kutokulipa kwa uwekezaji kwenye majengo siri yake ipo kwenye location. Ndio maana majengo yenye zaidi ya miaka 100 yaliyopo msasani beach, upanga yana return kubwa kuliko mahekalu ya bweni beach au bunju beach. mfano; Apartment ya vyumba 3 yenye sqm 200 pale Palm Village inauzwa mil 650-750 wakati hekalu la ghorofa vyumba 5 lenye sqm 2500 Mbweni mil 200-400
Ukweli mchungu ni kuwa ni ghali sana kuwekeza majengo katika prime areas. initial investment cost ni super expensive jambo ambalo linawafanya baadhi ya watu wawekeze apartments goms, chanika au kongowe. Ukifanya miscalculation yakujenga gharofa ya kifahali katika eneo lisilo sahihi ni vigumu kupata faida hata ikipita miaka 30, na hata ukiamua kuuza utauza kwa hasara. Hii ndio sababu mchina yupo tayari kutoa 1Bil kukununua sqm 450 msasani kuliko kutoa mil 200 kununua sqm 2000 mweni. Tuongoze umakini katika maamuzi ya ununuzi wa plot kuliko katika kuendeleza kwani ukikosea kununua hautaweza kurekebisha kasoro hata ujenge jengo zuri vipi ila ukikosea kujenga unaweza kurekebisha au hata kuuza kwa faida
 
Kuwekeza kwenye majengo ni sawa na fedha zako kuzifukia sehemu, na kuanza kuila kidogo kidogo mpaka iishe.

Na kula huko unakuwa hauli faida zaidi ya kula mtaji (fedha ulioiwekeza). Wengi ukimbilia kujenga nyumba za kupanga, 'apartment', hoteli, nyumba za kulala wageni n.k huku wakijipa matumaini majengo hayo yatawalipa na kupata faida zaidi na zaidi.

Kwa ujumla majengo hayo uwapa hasara, vinginevyo mmiliki hatonufaika zaidi ya kizazi chake kijacho ambacho ndio kitakuwa kinakula faida baada ya miaka kadhaa kupita.

Ukitaka kuamini hili, tembelea nyumba za kupanga, 'apartment', hoteli, nyumba za kulala wageni n.k zipe miaka mitano alafu ukazitembelee tena, utazikuta zimechoka na kama hakutokuwa na hela ya ziada ya ukarabati, ndio hivyo biashara inakuwa imekufa.​
Chai
 
Back
Top Bottom