Ukarabati mkubwa upi huo mzee, bati zinachoka baada ya muda gani, milango ya fremu baada ya muda gani, wiring ni muda gani, sioni, hapo ni kuomba mungu tu aepushe ajali za moto, tetemeko na mengineyo kama hayo..
Makadirio ni miaka 20 mbele huko, wakati huo thamani ya eneo inapanda, kodi inaongezeka, sasa ishu ya wiring kwa mimi, si kodi ya mwezi mmoja tu nimerekebisha. Na sio leo wala kesho, mpaka sasa jengo lina miaka mi5, mie kwa mahesabu yangu nakula faida, sababu ujenzi wake naona pesa isharudi mkuu.