Uwekezaji wa majengo haulipi

Uwekezaji wa majengo haulipi

Mkuu kwahio hujui kuwa wengi wanaowekeza kwenye majengo ni watu wana biashara nyingine ila wameamua kuweka fedha zao kwenye ardhi au nyumba?
Na kwa nini wamewekeza huko?
 
Ile kodi unayoipata pale sio faida, unatakiwa utoe gharama zote za uendeshaji ndipo ujilipe kama faida. Ni sawa na umenunu basi kwa milioni 300 na ukaliweka barabarani, ile nauli ya abiria sio faida. Faida itapatikana baada ya kutoa fedha uliyowekeza.
Sahihi kbsa
 
Kwa nini majengo ya zamani yamechoka kama kweli uwekezaji huo unalipa?
Unamaanisha majengo hayatakiwi kuchoka ? Nini maana ya kufanya repair ?

Wewe unahitaji uwekezaji ambao gharama ya uendeshaji ni 0% ?

Kama upo uwekezaji wa namna hiyo share hapa
 
Kama mtu alishawekeza huko, lazima ajifariji kwa sababu hawezi tena kurudi nyuma.
Nina eneo ambalo nimenunua million 3.5 mwaka 2023
, Sijajenga bado lakini sehemu zote ambazo imenizunguka wameshajenga tayari, Nyumba za kisasa haswa

Mwezi wa 1 jirani ambaye ameshajenga tayari alinifuata ili nimuuzie eneo langu, Offer yake ilikua million 25 akapanda hadi 30 NILIKATAA.

Thamani ya eneo imekua ni kubwa mno, Nilinunua kwajili ya kujenga, Je ingekua nimenunua kwajili ya kupata faida ni uwekezaji wenye hasara au faida ?
 
Nina eneo ambalo nimenunua million 3.5 mwaka 2023

Mwezi wa 1 jirani ambaye ameshajenga tayari alinifuata ili nimuuzie eneo langu, Offer yake ilikua million 25 akapanda hadi 30 NILIKATAA.
Hakuna ukweli hapo
 
Sasa hakuna uwekezaji hauna presha na hauangushi km wa nyumba na ardhi aisee hata ufanye nn mm siwezi acha najenga kajumba m 45 unauza 70 ama 65 bila presha ni wapi utapata hiyo faida bila kukimbizana na tra
Nyumba unauza harakaharaka hivyo?
Mfano ukipangisha umepiga hesabu pindi ambapo units zipo empty?
 
Back
Top Bottom