UVCCM Zanzibar: Abeid Karume afukuzwe CCM

UVCCM Zanzibar: Abeid Karume afukuzwe CCM

HIVi Shein akiiwa anafanya ibada zake kweli hua anahisi nini moyoni mwake?
mti uliozaa matunda haushi kupopolewa na mawe. Shein ni chaguo la Mungu nadhani kama alivyo Magufuli. Seif ukimuangalia usoni hana credibility ya kupewa ikulu na dola.

Ni aina ya mamluki ambaye tunaweza kuja juta huko mbele. ni sawa sawa na Lowasa. ukimuangalia usoni hupati imani ya kumpa dola kamwe.! tatizo lake kubwa yeye ni mfanyabiashara na bepari pasee ! urafiki wake na watu wa hali ya chini ni wa kuigiza tuu. sio wa dhamira yake hasa.

Tukitaka taifa letu lipae kiuchumi ni lazima ifike mahala tuwapambue mafisadi, mabepari, na mamluki na tuwaweke pembeni. vibginevyo taifa litaendelea kutafunwa miaka yote. tuzinduke wajameni
 
Karume ni mwarabu koko anataka kuigeuza zanzibar nchi ya waarabu. Wote wanaomsapoti Maalim ni waarabu hamjiulizi kuna nini.
 
Titizo la Z'bar ni ubaguzi. Mbaya sana ubaguzi huu unaongozwsa na chama tawala.

12541045_1076639782360934_5713335233426267896_n.jpg
 
Karume ni Trojan Horse aliyekamilisha kazi tuliyomtuma kwenye what so called "maridhiano" ambayo imeleta mabadiliko ya katiba yaliyoiweka zanzibar huru.
Karume ni smart sana na hao panya wadogo wa uvccm wako nje ya muda the man ameshawa-outmanuva panya wakubwa kitambo sana.
 
Vijana wa CCM Zanzibar wametoa kauli ya pamoja kwamba Rais mstaafu Aman Karume afukuzwe CCM kwa kuwa anaungana na upinzani kukizamisha chama.

Vijana hao wanaoonekana kutumwa wamesema asipofukuzwa watatumia njia mbadala.

===================
Na wakasema hivi
DSC_2469.jpg
 
Naona type za kina makonda nazo zinajitokeza zanzibar.Vijana wadogo hata huenda mapinduzi hawayajui wanataka raisi mstaafu afukuzwe uanachama tena mtoto wa mwanamapinduzi halisi.Huu ugonjwa unaoitwa makonda umewaingia vijana wengi mno.Kama tiba haitapatikana iko siku hawa vijana watasema raisi alieko madarakani afukuzwe uanachama.Ndio maana awali wenzao wa bara walijifungia kwenye kihoteli kimoja huko pwani wakaja na tamko la raisi ajaye hatatoka kaskazini na kweli hakutoka wakaona ushindi, wakaja na suala la katiba mpya nayo wakaona wameshinda pamoja na kupiga wazee na kuwadhalilisha, sasa wamekuja na ajenda ya raisi mstaafu mwenye heshima ukiacha ustafu wake katika ngazi ya urais ni mtoto wa muasisi wa mapinduzi afukuzwe uanachama na hili likifanikiwa siku wakitofautiana na raisi aliyeko madarakani watakuja na kauli ya afukuzwe uanachama na hapo ndio viongozi wetu watajua kuwa walikuwa wanapalilia upuuzi.Haya matamko viongozi wanayafurahia kwa sababu yanawahusu wapinzani wao ila mtu akishazoea kula nyama ya mtu haachi so wasubiri muda na wao watajikuta wanapitia maswahiba haya haya.Yaani vijana wahuni tu waliokusanywa kusanywa kama magunia ya mahindi wanatoa tamko raisi mstaafu afukuzwe uanachama halafu viongozi wa juu wanakaa kimya?Ama kweli ccm imefika mahali ambapo wapiga debe ndio wanachama na viongozi wenye busara sasa wameisha.
 
Hilo bango kama ni edited hamna neno....lakini kama ni kweli inasikitisha saana tena saana...kwa hilo Bango tu naona kama vile hakuna tena Muungano na usalama ni wa hati hati.
 
SIASA ZA KIBEBERU, MTU AKISIMAMIA UKWELI, AMEKISALITI CHAMA, WAKATI ANAKIWEKA SAWA MAANA KINAENDA OVYO. KATIBA IESHIMIWE
 
SIASA ZA KIBEBERU, MTU AKISIMAMIA UKWELI, AMEKISALITI CHAMA, WAKATI ANAKIWEKA SAWA MAANA KINAENDA OVYO. KATIBA IESHIMIWE
 
SIASA ZA KIBEBERU, MTU AKISIMAMIA UKWELI, AMEKISALITI CHAMA, WAKATI ANAKIWEKA SAWA MAANA KINAENDA OVYO. KATIBA IESHIMIWE
 
Back
Top Bottom