Mbulu
JF-Expert Member
- Apr 15, 2015
- 5,619
- 5,518
Mimi nimemwoa faiza,tuseme na mimi nipo ccm?Karume yupo cuf siku nyingi wala siyo leo maana hata yule mtoto wake ameolewa na kiongozi mmoja wa cuf hata mambo yake mengi hufanya kwaajili ya cuf.
Mimi nimemwoa faiza,tuseme na mimi nipo ccm?Karume yupo cuf siku nyingi wala siyo leo maana hata yule mtoto wake ameolewa na kiongozi mmoja wa cuf hata mambo yake mengi hufanya kwaajili ya cuf.
hahaha... jina la nini tena mkuu? Vijana wa ccm wakati mwingine hujifanya punguani na kuwadhihaki baba zao...ni kawaida yao tuJina la aliyewatuma tafadhari.
Huyu jamaa ana chuki mpaka kwenye mambo ya kifamilia...suala la kuoana cuf na ccm, mbona ni jambo la kawaida tu. Na sidhani kama linaweza kusababisha mtu afanye mambo ya CUF akiwa chichiyemu...Mimi nimemwoa faiza,tuseme na mimi nipo ccm?
Acha majungu kwani huo muungano unakusaidia nini hata ukivunjika.Kinachoendelea Zanzibar ni mtu mwenye akili ya nyumbu tu ndio anaweza kukipongeza au kushadadia.Chokochoko zote za karume, nia yake muungano uvunjike, wazanzbar ni wabaguz sana
Hilo jina la jamaa unalotumia unalidhalilisha.Assange si mjinga kiasi hichi wewe ulifaa utumie jina la kihiyo.Shein amekata mirija ya maslahi ya Amani Karume, ndio maana muda mwingi Amani Karume anatumia kumuhujumu Shein. Kutokana na utawala na kashkash kipindi cha chaguzi za mwaka 2000 na 2005, hivi Amani Karume anapata wapi ujasiri wa kumkosoa Shein?
Na ashukuru sana kwakuwa Shein ni mpole, angekuwa Salmin ni Rais, Amani Karume angekuwa ananyea debe.
Amani Karume anampinga Shein kwakuwa maslahi yake binafsi yamezuiwa, na sio kwamba ana mapenzi mema na Zanzibar au wazanzibar.
CCM wamerukwa akili wanasahau mwenzao Mahmoud Thabit Kombo naye " .5" .Ingekuwa bora endapo hao vijana wa CCM Zanzibar wangeshinikiza Maalim Seif atangazwe ili baada ya hapo waendelee kukijenga chama chao, badala ya kuendelea kushutumu watu kama Karume pamoja na kutembea na mabango yanayowabagua Machotara.
ajiite Juliana Kihiyo... hahaha mkuu umetisha..Hilo jina la jamaa unalotumia unalidhalilisha.Assange si mjinga kiasi hichi wewe ulifaa utumie jina la kihiyo.
Ccm hawapendi ukweli na ni wanafiki hasa uyo adifa sijui kashatoka honeymoon anataka adi familia ya waasisi wa muungano wafukuzwe kama baba Yake ndio aliuleta muungano kama vijana walitakiwa wasimamie ukweli jecha atangaze matokeoNyie UVCCM Zanzibar kwani CCM baba zenu ndio waliianzisha mpaka mumfukuze Rais mstaafu Aman Karume? Acheni upumbavu wenu kosa lake mini?
Mapenzi mema na Zanzibar ni kuwadhurumu CUF ushindi?Shein amekata mirija ya maslahi ya Amani Karume, ndio maana muda mwingi Amani Karume anatumia kumuhujumu Shein. Kutokana na utawala na kashkash kipindi cha chaguzi za mwaka 2000 na 2005, hivi Amani Karume anapata wapi ujasiri wa kumkosoa Shein?
Na ashukuru sana kwakuwa Shein ni mpole, angekuwa Salmin ni Rais, Amani Karume angekuwa ananyea debe.
Amani Karume anampinga Shein kwakuwa maslahi yake binafsi yamezuiwa, na sio kwamba ana mapenzi mema na Zanzibar au wazanzibar.
Niliitazama ile press conference, na iliongelea mambo ya msingi kwa mstakabali wa Zanzibar..kama ilipelekea kuharibika kwa utamu wa sherehe za mapinduzi, either ni coincidence tu, ama ni kwamba utamu wa sherehe hizo ulikuwa wa dhahania tu.Nasikia hata hotuba ya Maalim Sefu jana iliandikwa na wanasiasa wa nchi jirani ili kuharibu utamu wa sherehe za mapinduzi leo na ndio maana hotuba ikasomwa jana live ili kupinga mapinduzi yaliyomuondoa Sultani muarabu aliyeacha mbegu za machotara kibao wanaoyachukia mapinduzi na wengi wao machotara hao wametangaza kutoshiriki kwenye sherehe.