UVCCM Zanzibar: Abeid Karume afukuzwe CCM

UVCCM Zanzibar: Abeid Karume afukuzwe CCM

...huyu Sadifa Juma ndio kaoa juzi sio,au kaongeza wa pili? maana akili zake siku zote hua namuona fyatu!
 
HIVi Shein akiwa anafanya ibada zake kweli hua anahisi nini moyoni mwake?
umeandika jambo zito sana , nina uhakika huyu mzee akipita hapa atajielewa kwamba sasa yeye ni mpagani wa kiwango cha juu kabisa na wala si Alhaji .
 
Sasa yule maalim harun suleiman na akina raza na wengine wengi ambao ni vingozi wa ccm ,ambao nimachotara watajisikiaje ? Na yule wazir mohammed aboud na yeye atasemaje? Hawa watagawika wenyewe muda si mrefu !
 
Vijana wa CCM Zanzibar wametoa kauli ya pamoja kwamba Rais mstaafu Aman Karume afukuzwe CCM kwa kuwa anaungana na upinzani kukizamisha chama.

Vijana hao wanaoonekana kutumwa wamesema asipofukuzwa watatumia njia mbadala.

===================
Nitacheka sana siku hio akifukuzwa Mr. Former President, maana nadhani siku hio CCM zanzibar ofisi zao zitakuwa pale maskani yao ya kishenzi kisonge. Au hawajui kuwa Ofisi za Kiswandui ni mali Ya familia?
 
Vijana wa CCM Zanzibar wametoa kauli ya pamoja kwamba Rais mstaafu Aman Karume afukuzwe CCM kwa kuwa anaungana na upinzani kukizamisha chama.

Vijana hao wanaoonekana kutumwa wamesema asipofukuzwa watatumia njia mbadala.

===================

Vijana wa CCM Zanzibar wametoa kauli ya pamoja kwamba Rais mstaafu Aman Karume afukuzwe CCM kwa kuwa anaungana na upinzani kukizamisha chama.

Vijana hao wanaoonekana kutumwa wamesema asipofukuzwa watatumia njia mbadala.

===================
Kifupi ni kua hawana Ubavu wa kumuondoa CCM. Karume anajua fika kua CCM haijawahi kushindaga kihalali Zanzibar na anajua mbinu mbalimbali walizotumia kuminya ushindi wa Seif. Kama anataka Karume amwage mchele hadharani basi wamfukuze waone
 
Hivi huyu mzee amani karume ana mpango wa kugombea tena urais.namshangaa sana yeye na binti yake
 
Shein amekata mirija ya maslahi ya Amani Karume, ndio maana muda mwingi Amani Karume anatumia kumuhujumu Shein. Kutokana na utawala na kashkash kipindi cha chaguzi za mwaka 2000 na 2005, hivi Amani Karume anapata wapi ujasiri wa kumkosoa Shein?
Na ashukuru sana kwakuwa Shein ni mpole, angekuwa Salmin ni Rais, Amani Karume angekuwa ananyea debe.
Amani Karume anampinga Shein kwakuwa maslahi yake binafsi yamezuiwa, na sio kwamba ana mapenzi mema na Zanzibar au wazanzibar.
Juliana wacha hizo! Hivi kati ya Ali na Amaan nani kaifanyia makubwa Zanzibar? Uduvi wa ccm umepoteza dira. Mpeni Maalim haki yake pambaff!
 
Sasa yule maalim harun suleiman na akina raza na wengine wengi ambao ni vingozi wa ccm ,ambao nimachotara watajisikiaje ? Na yule wazir mohammed aboud na yeye atasemaje? Hawa watagawika wenyewe muda si mrefu !
Hakuna kitu kibaya kama kubaguana kwa namna yoyote ile itakwenda mpaka kwenye familia!
 
Rais mstaafu Amani Karume mbali na kupata ukwe kwa upande wa CUF...pia ameamua awe upande wa wananchi wanyonge na kuwasaidia kupata haki yao. Go...Mh Karume...Go.
 
CCM HAINA UWEZO WA KUMFUKUZA KARUME

HAO WATOTO WANATUMIWA

HALAFU BALOZI MKAAAZI NA SHEIN HAWA WATU WATATHMINI MATENDO YAO..


HALAFU MBONA HAPA TANZANIA KUNA WANA DIPLOMASIA WENGI SANA KAMA MEMBE
KIKWETE
NKAPA
MIGIRO sioni juhudi zao kabisa.

Au kuna kitu

UNAJUA DOLA HAIJAWAHI KUSHINDA KWA UMMA TANGU DUNIA IUMBWE.
 
Ramani ya ya zanzibar inaonyesha pale linapoekwa like bango la kibaguzi la kisonde inatakiwa kujengwa public toilet
 
Back
Top Bottom