UVCCM Zanzibar: Abeid Karume afukuzwe CCM

UVCCM Zanzibar: Abeid Karume afukuzwe CCM

Huyu ali karume si ndio ananunua karafuu za pemba .au anaogopa hilo
 
SADIFA waheshimu wazanzibar acha ubinafsi wako maamuzi ya kura za Wazanzibar ni muhimu kuheshimiwa mbona maifanya Zanzibar kuwa Burundi nyingine.By the way Sadifa ameshatoka Honey moon?

Could ccm be creating another BOKA HARAM/AL SHABAB in Zanzibar unknowingly?
 
UVCCM zanzibar ni vil.za watupu..hakuna mwenye akiri sawasawa..kuanza kiongozi wao hadi vilaza wa ngazi ya chini..ni hawahawa wamebeba bango la kibaguzi..sijui kwani uvccm zanzibar ipo chini ya wapuuzi
 
Mimi nilikuwa miongoni mwa waliouona uozo wa CCM kabla ya uteuzi wa wagombea urais 2015. Yaliyotokea yakadhihirisha CCM wameomba toba niliowaamini wamekimbilia fedha na kuuza utu wao. Yanayoendelea Zanzibar ni aibu ya nchi nzima. Ni aibu yetu sote. Najiuliza Mwanasheria Karume familia yake ilituhumiwa sana kujitwalia ardhi kihuni,nikumbusheni mchango wake wa mawazo. Tuukatae na kuukemea uhuni bila kujali unafanywa na nani.
 
Huyu salfa hizo pesa anazopewa uvccm anakwendavkuengeza wake tanganyika kila siju
 
Wacha tuchochee moto hahaha.... Afukuzwe tuuu

Kama kuna adui mkubwa nchi hii ccm wanamchukia ni UKWELI... Ukisema ukweli utakufa tu maana hakuna namna nyingine!
 
Shein amekata mirija ya maslahi ya Amani Karume, ndio maana muda mwingi Amani Karume anatumia kumuhujumu Shein. Kutokana na utawala na kashkash kipindi cha chaguzi za mwaka 2000 na 2005, hivi Amani Karume anapata wapi ujasiri wa kumkosoa Shein?
Na ashukuru sana kwakuwa Shein ni mpole, angekuwa Salmin ni Rais, Amani Karume angekuwa ananyea debe.
Amani Karume anampinga Shein kwakuwa maslahi yake binafsi yamezuiwa, na sio kwamba ana mapenzi mema na Zanzibar au wazanzibar.

Mmm! Sipati hoja. Looks like porojo za kijiweni!
 
Wa
Vijana wa CCM Zanzibar wametoa kauli ya pamoja kwamba Rais mstaafu Aman Karume afukuzwe CCM kwa kuwa anaungana na upinzani kukizamisha chama.

Vijana hao wanaoonekana kutumwa wamesema asipofukuzwa watatumia njia mbadala.

===================
waanze kufukuzwa wao kwanza maana chama kimewashinda sasa wanaanza Ushambenga kufuata fuata mtu binafsi mwenye Uhuru wa mawazo.
 
Na watamfukuza kwa sababu ni chotara. Si unaona nishani ya kitaifa hajapewaga hata moja!
 
Vijana wa CCM Zanzibar wametoa kauli ya pamoja kwamba Rais mstaafu Aman Karume afukuzwe CCM kwa kuwa anaungana na upinzani kukizamisha chama.

Vijana hao wanaoonekana kutumwa wamesema asipofukuzwa watatumia njia mbadala.

===================

HAO VIJANA HAWAITAKII NCHI YAO AMANI HUYO ALIYEWATUMA ANAWAPOTOSHA
 
Vijana wa CCM Zanzibar wametoa kauli ya pamoja kwamba Rais mstaafu Aman Karume afukuzwe CCM kwa kuwa anaungana na upinzani kukizamisha chama.

Vijana hao wanaoonekana kutumwa wamesema asipofukuzwa watatumia njia mbadala.

===================
CCM wamelea sana huu ujinga wa ushabiki vimavi

Matokeo yake sasa vijana wamekua kama kundi la mbwa koko wanaorandaranda mitaani bila guidance wala vision

Mbaya sana hii
 
Kifupi ni kua hawana Ubavu wa kumuondoa CCM. Karume anajua fika kua CCM haijawahi kushindaga kihalali Zanzibar na anajua mbinu mbalimbali walizotumia kuminya ushindi wa Seif. Kama anataka Karume amwage mchele hadharani basi wamfukuze waone
Uko sahihi kuhusu CCM kutoshinda kihalali na hii iliwapa shida CCM hususan kipindi chake Karume maana alikuwa hakubaliki kabisa na hapendwi. Au umesahau? Hawezi kumwaga mchele hadharani kwa sababu ana mali nyingi sana za familia ikiwemo ardhi nyingi aliyochukua na familia yake. Usisahau yale ya Sumaye. Msimdanganye Karume - he is not clean na ni mnufaika mkubwa wa CCM na utawala wake wa kibabe. Mnasahau mpk leo Lowassa hajamwaga hata punje ya mchele kabaki kuwazungusha mikono tu!?
 
karume ni chotara hatakiwi ndani ya ccm zanzibar. vijana wameficha tu hiyo sababu. machotara hawatakiwi ndani ya ccm.
 
Karume ni mwarabu koko anataka kuigeuza zanzibar nchi ya waarabu. Wote wanaomsapoti Maalim ni waarabu hamjiulizi kuna nini.
CUF ina wawakilishi unguja na pemba,ccm ni unguja tuu baadhi ya majimbo.Hujiulizi kwa nini ccm itawale????
 
Back
Top Bottom