Sio coincidence ni mpangoNiliitazama ile press conference, na iliongelea mambo ya msingi kwa mstakabali wa Zanzibar..kama ilipelekea kuharibika kwa utamu wa sherehe za mapinduzi, either ni coincidence tu, ama ni kwamba utamu wa sherehe hizo ulikuwa wa dhahania tu.
We unakomaa na ishu ya burundi tu umetumwa!? kwani zanzibar na burundi zinatofautiana nn? Mbona hujaandamana kuhusu mpango wa kagame kuendelea milele rwanda?Halafu kwa ujasiri wa kinafiki wanataka kwenda kusuluhisha ya jirani huko Bururundi..........unafiki mkubwa sana huu.
Na huo mpango unaondoaje huo utamu wa sherehe hizo? Be specific, siyo theories za juu juu tu.Sio coincidence ni mpango
don't act smart on me dude.Na huo mpango unaondoaje huo utamu wa sherehe hizo? Be specific, siyo theories za juu juu tu.
Ya kagame yanatuhusu? Yakwetu hamyasemei ila ni vilanja wa kukosoa ya wengineWe unakomaa na ishu ya burundi tu umetumwa!? kwani zanzibar na burundi zinatofautiana nn? Mbona hujaandamana kuhusu mpango wa kagame kuendelea milele rwanda?
Kuna suala la udugu, hao wanaoitwa wazanzibari wengi wao babu na bibi zao wana asili ya pwani ya Tanzania, kuanzia Tanga mpaka Mtwara. Mpemba akiyatamka yale maneno yanayoanzia na M ataweka N, mfano Mtoto atasema Ntoto, Mtu atasema Ntu, sawasawa na wenyeji wa mkoa wa Mtwara jinsi wanavyoongea. Kuna wanyamwezi wengi visiwani Zanzibar, kuna wagogo na makabila mengi ya huku Bara. Mwasisi wa Mapinduzi marehemu Karume ni mtu mwenye asili ya huku bara. Damu ni nzito kuliko maji, hizo nchi unazosema tujiunge nazo, hatuna uhusiano nao wa damu, ni rahisi kukorofishana nao na uhusiano ukafa moja kwa moja, kuiliko ambavyo mtu wa bara anavyoweza kugombana na mzanzibari halafu akaja kupata naye kwani damu zao zina uhusiano.Hivi huo muungano unaolindwa sana una faida gani kwa sisi watu wa Tanzania bara? Kuna nchi ambazo hata hatujaungana lakini zina faida kibiashara kuliko hata hiyo tukiyoungana nayo. Mapato tunayoingiza kupitia nchi ambazo hatujaungana nazo ni makubwa sana kuliko hayo ya Zanzibar. Serikali itaendelea kutumia nguvu hadi lini kule Zanzibar. Suluhisho la mgogoro ni kuwaachia Wazanzibar wenyewe waamue kama walivyoamua kwenye sanduku la kura. Wazanzibar waheshimiwe maamuzi yao kwenye kura kuliko kikundi cha watu wachache kuwaamulia Wazanzibar. La sivyo kila uchaguzi lazima mgogoro uibuke
Ya kwetu wapi?Ya kagame yanatuhusu? Yakwetu hamyasemei ila ni vilanja wa kukosoa ya wengine
Karume yupo cuf siku nyingi wala siyo leo maana hata yule mtoto wake ameolewa na kiongozi mmoja wa cuf hata mambo yake mengi hufanya kwaajili ya cuf.
Ya umeya Dar? huyaoni kazi kunyosha kidole tu.Ya kwetu wapi?
Bado hamjamfikisha mahakamani na gazeti lenu uchwara?Ila wewe kibaraka wa Mbowe uliyemsaidia kuhamisha mabilioni nje ya nchi ndio una mawazo mbadala!? Lahaula!
Uchunguzi unaendelea.Bado hamjamfikisha mahakamani na gazeti lenu uchwara?
Maslahi yapi hayo?Shein amekata mirija ya maslahi ya Amani Karume, ndio maana muda mwingi Amani Karume anatumia kumuhujumu Shein. Kutokana na utawala na kashkash kipindi cha chaguzi za mwaka 2000 na 2005, hivi Amani Karume anapata wapi ujasiri wa kumkosoa Shein?
Na ashukuru sana kwakuwa Shein ni mpole, angekuwa Salmin ni Rais, Amani Karume angekuwa ananyea debe.
Amani Karume anampinga Shein kwakuwa maslahi yake binafsi yamezuiwa, na sio kwamba ana mapenzi mema na Zanzibar au wazanzibar.
Njaa inawasumbua sana haoVijana wa CCM Zanzibar wametoa kauli ya pamoja kwamba Rais mstaafu Aman Karume afukuzwe CCM kwa kuwa anaungana na upinzani kukizamisha chama.
Vijana hao wanaoonekana kutumwa wamesema asipofukuzwa watatumia njia mbadala.
===================