UVCCM Zanzibar: Abeid Karume afukuzwe CCM

UVCCM Zanzibar: Abeid Karume afukuzwe CCM

Mi nishangaa,kinchi chenywe kama dar alaf bdo tunakinga'nga'nia,,wapeni ki wilaya chao sisi tuendelee na mambo ya msingi
 
kwa hiyo mkuu Simiyu, wewe binti yako akiolewa na mtu mwenye itikadi tofauti na wewe, ni kosa? ..kwa nini unakuwa na chuki kiasi hiki?

Mi nadhani Karume anajitambua na ndio sababu yeye hujali maslah ya Zanzibar kuliko chama...
Mkuu huyo simiyu ameshakata tamaa ya maisha maana elimu hana na kwa kazi yake kila siku anapigwa lindo tu
 
Nasikia hata hotuba ya Maalim Sefu jana iliandikwa na wanasiasa wa nchi jirani ili kuharibu utamu wa sherehe za mapinduzi leo na ndio maana hotuba ikasomwa jana live ili kupinga mapinduzi yaliyomuondoa Sultani muarabu aliyeacha mbegu za machotara kibao wanaoyachukia mapinduzi na wengi wao machotara hao wametangaza kutoshiriki kwenye sherehe.
Shein alisha kataliwa na wenye nchi yao
 
Karume anaendeleza historia ya Marais wastaafu waliotawala zanzibar, wote wamekuwa wanabadirika baada ya kustaafu na kuanza kudai wanaouita Uhuru wa Zanzibar toka kwa watanganyika. Kwa wafuatiliaji wa Siasa, hatutashangaa na Shein naye akigeuka baada ya muda wake kutawala kutaradad.
Muda wake ulishamalizika mara tu baada ya uchaguzi wa 25.10
 
Lakini Sadifa si ni mwenyekiti wao UVCCM taifa? Kwa hiyo tamko hilo haliwezi kuwa la UVCCM Zanzibar bali ni la Taifa. Sasa hapo ndio patamu kama baba zao yaani chama chenyewe kinasemaje? Kitakaa kimya kuona Makamu mwenyekiti wao mstaafu anatakiwa na watoto wao afukuzwe chamani?
 
Fisi hawezi kabidhiwa alinde Bucha. Hawa wacha waendelee kuwa chini yetu, Ukiwaachia wajitawale, wataanza kuchinjana kama Rwanda, maana wenyewe hawapendani!.
 
Huwa inaniwia ngumu sana kuelewa maana ya HAKI! Na kisiasa ili haki ipatikane ni kufuata KATIBA. Ya Zanzibar, ya Umeya Dar, Mkuu wa nchi hayaoni anakimbilia kupeka majeshi Burundi! Wananchi tuhangaikie ya nyumbani kwanza kuwa salama ndi tusikilizie kwa jirani kuna nini?
 
Nawasikitikia Wazanzibari,siyo nawatukana lakini inaniuma saana kuona kama vile hakuna masikizano mazuri.Nyiye ni Ndugu kwa nini muanzishe haya mambo ya Uchotara....?? Pse angalieni nje ya hapo mulipo pakoje..???
 
Mkuu huyo simiyu ameshakata tamaa ya maisha maana elimu hana na kwa kazi yake kila siku anapigwa lindo tu
hahaha... ni chokoraa flan hivi anaeish kwa kujipendekeza kama Daudi Bashite...yule aliyemfunga gidam mtoto wa mzee msafiri wa msoga

watu wa ccm kwa kweli wana akili na fikra za ajabu sana....nadhani wana utamaduni wa kufikiri kwa kutumia masaburi...
 
Kuna suala la udugu, hao wanaoitwa wazanzibari wengi wao babu na bibi zao wana asili ya pwani ya Tanzania, kuanzia Tanga mpaka Mtwara. Mpemba akiyatamka yale maneno yanayoanzia na M ataweka N, mfano Mtoto atasema Ntoto, Mtu atasema Ntu, sawasawa na wenyeji wa mkoa wa Mtwara jinsi wanavyoongea. Kuna wanyamwezi wengi visiwani Zanzibar, kuna wagogo na makabila mengi ya huku Bara. Mwasisi wa Mapinduzi marehemu Karume ni mtu mwenye asili ya huku bara. Damu ni nzito kuliko maji, hizo nchi unazosema tujiunge nazo, hatuna uhusiano nao wa damu, ni rahisi kukorofishana nao na uhusiano ukafa moja kwa moja, kuiliko ambavyo mtu wa bara anavyoweza kugombana na mzanzibari halafu akaja kupata naye kwani damu zao zina uhusiano.
Karume ni mnyasa kutoka Malawi
 
hahaha... ni chokoraa flan hivi anaeish kwa kujipendekeza kama Daudi Bashite...yule aliyemfunga gidam mtoto wa mzee msafiri wa msoga

watu wa ccm kwa kweli wana ajili za ajabu sana....nadhani wana utamaduni wa kufikiri kwa kutumia masaburi...
Teeeeeeh teeeeeeeeeh teeeeeeeeeh teeeeeeeeh teeeeeeeeh
 
Nawasikitikia Wazanzibari,siyo nawatukana lakini inaniuma saana kuona kama vile hakuna masikizano mazuri.Nyiye ni Ndugu kwa nini muanzishe haya mambo ya Uchotara....?? Pse angalieni nje ya hapo mulipo pakoje..???
Ajabu ni kwamba serikali ya Zanzibar wakati wa karume sr.ndiyo iliyoleta utaratibu wa ndoa za lazima kwa ajili ya kuchanganya damu kati ya waafrika,waarabu na wahindi,bila shaka watoto watakaozaliwa kwenye ndoa hizi watakua ni machotara,kosa lao ni nini?
 
Kwa uvccm hapo ndio mwisho wa akili yao wao na karume nani anajua mabaya na mazuri ya muungano huyu sadifa alianza na moyo wakamfukuza sasa kwa karume ndio ataiua ccm sio kuigawa aachane kabisa na familia ya karume ata kama ipo ccm kinafiki uvccm kuna watu wanaumuhimu ccm Zanzibar kama familia ya karume kwanza ina mwasisi wa muungano rais mstaafu
 
Back
Top Bottom