Zamaulid
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 19,955
- 16,006
Hivi siasa zimeshatufikisha kutooleana...Karume yupo cuf siku nyingi wala siyo leo maana hata yule mtoto wake ameolewa na kiongozi mmoja wa cuf hata mambo yake mengi hufanya kwaajili ya cuf.
Hivi siasa zimeshatufikisha kutooleana...Karume yupo cuf siku nyingi wala siyo leo maana hata yule mtoto wake ameolewa na kiongozi mmoja wa cuf hata mambo yake mengi hufanya kwaajili ya cuf.
SADIFA waheshimu wazanzibar acha ubinafsi wako maamuzi ya kura za Wazanzibar ni muhimu kuheshimiwa mbona maifanya Zanzibar kuwa Burundi nyingine.By the way Sadifa ameshatoka Honey moon?Vijana wa CCM Zanzibar wametoa kauli ya pamoja kwamba Rais mstaafu Aman Karume afukuzwe CCM kwa kuwa anaungana na upinzani kukizamisha chama.
Vijana hao wanaoonekana kutumwa wamesema asipofukuzwa watatumia njia mbadala.
===================
Tanganyika ni Mkoloni wa Zanzibar kupitia koti la Muungano! Nyerere alipewa amri na Mabepari aitawale ZanzibarHivi huo muungano unaolindwa sana una faida gani kwa sisi watu wa Tanzania bara? Kuna nchi ambazo hata hatujaungana lakini zina faida kibiashara kuliko hata hiyo tukiyoungana nayo. Mapato tunayoingiza kupitia nchi ambazo hatujaungana nazo ni makubwa sana kuliko hayo ya Zanzibar. Serikali itaendelea kutumia nguvu hadi lini kule Zanzibar. Suluhisho la mgogoro ni kuwaachia Wazanzibar wenyewe waamue kama walivyoamua kwenye sanduku la kura. Wazanzibar waheshimiwe maamuzi yao kwenye kura kuliko kikundi cha watu wachache kuwaamulia Wazanzibar. La sivyo kila uchaguzi lazima mgogoro uibuke
ndiyo maana kikwete kang'ang'ania madaraka kisa magufuli alimwambia anasafiri nje ya nchi kuliko kwenda kumsalimia mama yake, ccm ukimkosoa mtu kwa ujinga anaofanya aachii madaraka.Shein amekata mirija ya maslahi ya Amani Karume, ndio maana muda mwingi Amani Karume anatumia kumuhujumu Shein. Kutokana na utawala na kashkash kipindi cha chaguzi za mwaka 2000 na 2005, hivi Amani Karume anapata wapi ujasiri wa kumkosoa Shein?
Na ashukuru sana kwakuwa Shein ni mpole, angekuwa Salmin ni Rais, Amani Karume angekuwa ananyea debe.
Amani Karume anampinga Shein kwakuwa maslahi yake binafsi yamezuiwa, na sio kwamba ana mapenzi mema na Zanzibar au wazanzibar.
Duh! kama bintiye kaolewa na kiongozi wa cuf japo hujasema ni nani, basi mpaka hapo uaminifu wake haupo kabisa. Nijuavyo mimi watu wa cuf na ccm walikuwa hawaoleani kabisa kwa siasa zao zilivyo tangu miaka mingi nyuma.Karume yupo cuf siku nyingi wala siyo leo maana hata yule mtoto wake ameolewa na kiongozi mmoja wa cuf hata mambo yake mengi hufanya kwaajili ya cuf.
chadema mnahangaikia nini huko nchi za nje?Ccm nyang'anyang'a ndembendembe mlalo wa mende chaliiiiiiii
kwa hiyo mkuu Simiyu, wewe binti yako akiolewa na mtu mwenye itikadi tofauti na wewe, ni kosa? ..kwa nini unakuwa na chuki kiasi hiki?Karume yupo cuf siku nyingi wala siyo leo maana hata yule mtoto wake ameolewa na kiongozi mmoja wa cuf hata mambo yake mengi hufanya kwaajili ya cuf.
tena kwa wakati huu cuf wapo ngangari,wamoja,na wapo technical fit. Mpaka sawa ngoma droo.Kama hali ipo hivyo miongoni mwa makada wa CCM,je kwenye vyombo vya usalama nako hakuna mgawanyiko wa kiitikadi kweli?Mgogoro wa kisiasa Zanzibar unaingia ktk hatua nyingine kabisa kuwahi kushuhudiwa.