Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 34,961
- 80,240
Oops, sio mpenzi saana wa sneakers hadi kujua details....obvious napofanya mazoezi nazitumia ila ukiniuliza brands za boots tutakuwa tunaongea lugha moja.Hata muda wa mazoezi my friend😀?
Oops, sio mpenzi saana wa sneakers hadi kujua details....obvious napofanya mazoezi nazitumia ila ukiniuliza brands za boots tutakuwa tunaongea lugha moja.Hata muda wa mazoezi my friend😀?
Oops, sio mpenzi saana wa sneakers hadi kujua details....obvious napofanya mazoezi nazitumia ila ukiniuliza brands za boots tutakuwa tunaongea lugha moja.
Naona sketchers wana tangaza Sana Kwa Millard ayo Raba za wadada... labda utazame utavutiwa...
Mzima?..am great
Last month nilikuwa bongo, wakati naenda nikajisemea siendi na hizi popular brand sijui nike au air jordan maana zimejaa feki nyingi tu.Clarks me prefer.
Umenikumbusha Michelle wa Brooklyn demu kwake alikuwa na ukuta mzima umejaa sneakers kutoka juu mpaka chini kazipanga ukija humjui unaweza kufikiri hapo ni dukani anauza sneakers.
I ended up doing the same, mostly for boots and leather shoes. Nimeishia kuziweka basement. Ninazovaa chache. Uzuri kuna dogo kafikisha size yangu 13 (US) yeye sasa ndo kaanza kuzitaifisha moja moja.
Mara naona Brooks niliyoisahau imevaliwa. Mara Chuck Taylor imekumbukwa. Mara Adidas imeona jua. Mara sneakers za LeBron zimechezewa basketball.
Nasema ni bora azivae kwa kuwa vinginevyo zitakuwa zimekaa bure kama kwenye museum.
Yani unanunua viatu 1,000 kama Imelda Marcos, halafu unaishia kuvaa kwa kurudia hata 10 havifiki 😂😂😂
Same thing for colognes.
Naam.Last month nilikuwa bongo, wakati naenda nikajisemea siendi na hizi popular brand sijui nike au air jordan maana zimejaa feki nyingi tu.
Wakati nazurura shopping mara duka la Clarks hili hapa, nikatumbukia na kuchukua wallabee moja na raba moja tosha kabisa...
View attachment 3455178
View attachment 3455180
Raba zao very comfortableNaam.
Clarks me prefer.
Raba za Clarks ziko so different.
Ulichukulia wapi huko huko au Bongo?
Bongo kuna duka la Wahindi la Clarks pale karibu na CBE sijui kama bado lipo lile.
Mi nina pairs kadhaa za retro Jordans, Air Max 90 Red, white, and blue, Fila, na British Knights ambazo sijawahi kabisa kuzivaa.Hujajua mfumo wa kibepari unavyokunasa.
Mimi nikienda duka la Clarks sasa hovi nina uhakika wa kununua kiatu kwa 50% off, halafu juu ya hapo kuna rewards discount naweza kupata zaidi ya $20.
Im3fikia muda hata sitaki kutembelea haya maduka kwa sababu yanakunasa kama ulimbo. Next weekend kuna Labor Day sales kibao, lakini unajiukiza sasa nanunua kiatu cha nini wakati nyumbani kuna pair 1,000?
Hizo 50% off or buy one get one free ziko kibao.
So you think, ooh, this is a good deal.
So, before you know it, in 25 -30 years of weekends and weekends of shopping, you have 1,000 shoes in the basement.
Vingine havijavaliwa kabisa zaidi ya kuvijaribu siku ulivyovinunua.
Utatisha sanaHuu ulimwengu Una mambo ...wengine tunanunua Raba tukiona Tu Kwa macho na kuvaa...kumbe Raba zina mashabiki kama mpira na zina wachambuzi pia. .....
Nikipata nafasi ntakuwa naweka hapa story na uchambuzi wa Raba na ushabiki wake...na mambo mbalimbali yanayo husu raba...
Mi nina pairs kadhaa za retro Jordans, Air Max 90 Red, white, and blue, Fila, na British Knights ambazo sijawahi kabisa kuzivaa.
Hata nyumbani hazipo. Nilizihamishia kwenye storage unit [CubeSmart] 😀.
Kuna kipindi nilikuwa naenda kwenye malls na boutiques mara kadhaa kwa wiki.
Kila nikienda, nilikuwa narudi na kitu au vitu.
Leo hii hata sikukumbuki mara ya mwisho kwenda kwenye mall au boutique ilikuwa lini.
I think it was just a phase and now I’m past it.
Sio ulete branch ya footlocker bongo...
Au Nike Tanzania?...it's time Dar kuwe na hizi store....kupata genuine sneaker Tz nayo ni skills tosha...unazunguka kkoo hadi uchoke
Nenda pale Dar free market floor ya kwanza kuna jamaa anauza genuine kabisa from UK na mpya...Ukitaka genuine sneakers TZ, nunua mtumbani tu...
Hizi stores wanaouza mpya, nyingi ni second au third copy...
Nenda pale Dar free market floor ya kwanza kuna jamaa anauza genuine kabisa from UK na mpya...
Genuine ukizishika tu unaiona hii genuine
Sasa ajabu pale pale Dar free market kuna jamaa wanajiita Magnus wako chini ...wanauza mtumba ghali kuliko wenzao wanaouza mpya....ajabu sanaYes nadhani unamtaja MKL, huwa anauza hadi perfume OG sometimes...
Post yangu niliiongezea nyama na nime-mention IG account yake + mwingine yupo Mbezi ya chini...
Sasa ajabu pale pale Dar free market kuna jamaa wanajiita Magnus wako chini ...wanauza mtumba ghali kuliko wenzao wanaouza mpya....ajabu sana
Hamna kitu sipendi kama kuvaa trend za viatu ambazo kila mtu anavaa
Vans zina matoleo zaidi ya 1000 ...sema wafanyabiashara bongo wanapenda kujaza madukani zile zinazo trend...kuna vans ambazo hata madukani hakuna limited editionsHamna kitu sipendi kama kuvaa trend za viatu ambazo kila mtu anavaa
Wakati hizi vans nyeusi na msitar1 mweupe zilivyotoka 2008 sijui, kila mtu kavaa
Mara zikaja New Balance, nazo kila mtu anavaa, mimi hapana
Sasa naona ziko hizi hapo chini zinaitwa Cloud, kila mtu mjini amevaa
Najua bongo muda si mrefu mchina ataleta hizi
View attachment 3460327