Uvaaji Raba na ushabiki wake... sneakers shopping...

Uvaaji Raba na ushabiki wake... sneakers shopping...

Yo Kiranga drop those ny sneakers, au na huko karume iko?
Clarks me prefer.

Umenikumbusha Michelle wa Brooklyn demu kwake alikuwa na ukuta mzima umejaa sneakers kutoka juu mpaka chini kazipanga ukija humjui unaweza kufikiri hapo ni dukani anauza sneakers.

I ended up doing the same, mostly for boots and leather shoes. Nimeishia kuziweka basement. Ninazovaa chache. Uzuri kuna dogo kafikisha size yangu 13 (US) yeye sasa ndo kaanza kuzitaifisha moja moja.

Mara naona Brooks niliyoisahau imevaliwa. Mara Chuck Taylor imekumbukwa. Mara Adidas imeona jua. Mara sneakers za LeBron zimechezewa basketball.

Nasema ni bora azivae kwa kuwa vinginevyo zitakuwa zimekaa bure kama kwenye museum.

Yani unanunua viatu 1,000 kama Imelda Marcos, halafu unaishia kuvaa kwa kurudia hata 10 havifiki 😂😂😂

Same thing for colognes.
 
Clarks me prefer.

Umenikumbusha Michelle wa Brooklyn demu kwake alikuwa na ukuta mzima umejaa sneakers kutoka juu mpaka chini kazipanga ukija humjui unaweza kufikiri hapo ni dukani anauza sneakers.

I ended up doing the same, mostly for boots and leather shoes. Nimeishia kuziweka basement. Ninazovaa chache. Uzuri kuna dogo kafikisha size yangu 13 (US) yeye sasa ndo kaanza kuzitaifisha moja moja.

Mara naona Brooks niliyoisahau imevaliwa. Mara Chuck Taylor imekumbukwa. Mara Adidas imeona jua. Mara sneakers za LeBron zimechezewa basketball.

Nasema ni bora azivae kwa kuwa vinginevyo zitakuwa zimekaa bure kama kwenye museum.

Yani unanunua viatu 1,000 kama Imelda Marcos, halafu unaishia kuvaa kwa kurudia hata 10 havifiki 😂😂😂

Same thing for colognes.
Sasa mpaka zina fika pair 1000 ulikuwa mna waza nini?, au ndio ile mfuko ume lipuka first time?

Ko Ume fikisha pair 100?, Kama ndio hizo lazima tu bargain 😂😂
 
Sasa mpaka zina fika pair 1000 ulikuwa mna waza nini?, au ndio ile mfuko ume lipuka first time?

Ko Ume fikisha pair 100?, Kama ndio hizo lazima tu bargain 😂😂
Hujajua mfumo wa kibepari unavyokunasa.

Mimi nikienda duka la Clarks sasa hovi nina uhakika wa kununua kiatu kwa 50% off, halafu juu ya hapo kuna rewards discount naweza kupata zaidi ya $20.

Im3fikia muda hata sitaki kutembelea haya maduka kwa sababu yanakunasa kama ulimbo. Next weekend kuna Labor Day sales kibao, lakini unajiukiza sasa nanunua kiatu cha nini wakati nyumbani kuna pair 1,000?

Hizo 50% off or buy one get one free ziko kibao.

So you think, ooh, this is a good deal.

So, before you know it, in 25 -30 years of weekends and weekends of shopping, you have 1,000 shoes in the basement.

Vingine havijavaliwa kabisa zaidi ya kuvijaribu siku ulivyovinunua.
 
Hujajua mfumo wa kibepari unavyokunasa.

Mimi nikienda duka la Clarks sasa hovi nina uhakika wa kununua kiatu kwa 50% off, halafu juu ya hapo kuna rewards discount naweza kupata zaidi ya $20.

Im3fikia muda hata sitaki kutembelea haya maduka kwa sababu yanakunasa kama ulimbo. Next weekend kuna Labor Day sales kibao, lakini unajiukiza sasa nanunua kiatu cha nini wakati nyumbani kuna pair 1,000?

Hizo 50% off or buy one get one free ziko kibao.

So you think, ooh, this is a good deal.

So, before you know it, in 25 -30 years of weekends and weekends of shopping, you have 1,000 shoes in the basement.

Vingine havijavaliwa kabisa zaidi ya kuvijaribu siku ulivyovinunua.
Dah hapo lazima ubanwe kweli kweli, maana hiyo buy 1 get 1 free ni ka chambo kenye kisu.

tuta bonga senior.
 
Clarks me prefer.

Umenikumbusha Michelle wa Brooklyn demu kwake alikuwa na ukuta mzima umejaa sneakers kutoka juu mpaka chini kazipanga ukija humjui unaweza kufikiri hapo ni dukani anauza sneakers.

I ended up doing the same, mostly for boots and leather shoes. Nimeishia kuziweka basement. Ninazovaa chache. Uzuri kuna dogo kafikisha size yangu 13 (US) yeye sasa ndo kaanza kuzitaifisha moja moja.

Mara naona Brooks niliyoisahau imevaliwa. Mara Chuck Taylor imekumbukwa. Mara Adidas imeona jua. Mara sneakers za LeBron zimechezewa basketball.

Nasema ni bora azivae kwa kuwa vinginevyo zitakuwa zimekaa bure kama kwenye museum.

Yani unanunua viatu 1,000 kama Imelda Marcos, halafu unaishia kuvaa kwa kurudia hata 10 havifiki 😂😂😂

Same thing for colognes.

Chuck Taylor... Converse...

Jack Purcell ... Converse


Nilikuwa nasoma history ya Chuck Taylor..dah hadi unasikia maumivu..
Converse wameuza zaidi ya pairl milioni 600 za Chuck Taylor..na ame design na practically kuwa brain behind yet hakupata mamilioni kama ya Jordan na Nike au LeBron na wengine.......very very interesting
 
Chuck Taylor... Converse...

Jack Purcell ... Converse


Nilikuwa nasoma history ya Chuck Taylor..dah hadi unasikia maumivu..
Converse wameuza zaidi ya pairl milioni 600 za Chuck Taylor..na ame design na practically kuwa brain behind yet hakupata mamilioni kama ya Jordan na Nike au LeBron na wengine.......very very interesting
Kuna movie moja ya maisha ya Jordan inaitwa "Air" imetoka mwaka 2023 inaonesha jinsi gani mama yake Michael Jordan akivyosimamia contract ya Jordan iwe nzuri apate royalties kila kiatu kikiuzwa, si kulipwa mara moja tu.

Hiyo ilileta tofauti kubwa sana, maana vinginevyo Michael Jordan angelipwa pesa ndogo mara moja tu.


View: https://youtu.be/6VEoWb1b-L0?si=zHp03DDtkTBUhmsv
 
Clarks me prefer.

Umenikumbusha Michelle wa Brooklyn demu kwake alikuwa na ukuta mzima umejaa sneakers kutoka juu mpaka chini kazipanga ukija humjui unaweza kufikiri hapo ni dukani anauza sneakers.

I ended up doing the same, mostly for boots and leather shoes. Nimeishia kuziweka basement. Ninazovaa chache. Uzuri kuna dogo kafikisha size yangu 13 (US) yeye sasa ndo kaanza kuzitaifisha moja moja.

Mara naona Brooks niliyoisahau imevaliwa. Mara Chuck Taylor imekumbukwa. Mara Adidas imeona jua. Mara sneakers za LeBron zimechezewa basketball.

Nasema ni bora azivae kwa kuwa vinginevyo zitakuwa zimekaa bure kama kwenye museum.

Yani unanunua viatu 1,000 kama Imelda Marcos, halafu unaishia kuvaa kwa kurudia hata 10 havifiki 😂😂😂

Same thing for colognes.
For real usipoweka mpango wa kuvaa viatu ni wastage
Kuna muda i stop shopping/give away
I js want enjoy and keep what i routinely wear/buy intentionally,...heri perfumes with longer shelf lives, kiatu kidogo tu ukikipotezea unakifuta kinababuka, mara kina issue gani heh
 
For real usipoweka mpango wa kuvaa viatu ni wastage
Kuna muda i stop shopping/give away
I js want enjoy and keep what i routinely wear/buy intentionally,...heri perfumes with longer shelf lives, kiatu kidogo tu ukikipotezea unakifuta kinababuka, mara kina issue gani heh
Yeah. Ila kuna huyu kijana anavivaa afadhali kidogo.

Vingine nitaweka kwenye pipa na kutuma Bongo.
 
The Boss ....

Heshima yako Mkuu 🤝🤝🤝.

Nimejikuta najiuliza, hivi hawa wafukua makaburi wa miaka hii mbona hawakufukua nyuzi za The Boss...!!!???

Kitambo sana ndugu yangu.

Nimetoka nje ya mada kidogo happ juu.

Kurejea kwenye mada, binafsi navaa raba mradi iwe nikitembea hainifanyi visigino viume, napenda raba zenye cushion nene ndani aina yeyote ile, sina makuu.

Nimekumbuka ile gari ya orange plate namba nimesahau.... wasalimie wote.
 
The Boss ....

Heshima yako Mkuu 🤝🤝🤝.

Nimejikuta najiuliza, hivi hawa wafukua makaburi wa miaka hii mbona hawakufukua nyuzi za The Boss...!!!???

Kitambo sana ndugu yangu.

Nimetoka nje ya mada kidogo happ juu.

Kurejea kwenye mada, binafsi navaa raba mradi iwe nikitembea hainifanyi visigino viume, napenda raba zenye cushion nene ndani aina yeyote ile, sina makuu.

Nimekumbuka ile gari ya orange plate namba nimesahau.... wasalimie wote.
Naona sketchers wana tangaza Sana Kwa Millard ayo Raba za wadada... labda utazame utavutiwa...
Mzima?..am great
 
Raba zina mambo mengi kuna hadi release date kama movie...Raba inasubiriwa....kama iphone...
Kuna matoleo limited edition...hayauzwi kila nchi etc...kuna wachambuzi na vipindi vya TV kuhusu raba tu...
Oyaah hatari sana kuna animation nimeangalia inaitwa sneaks humu ndani kiatu kina thamani sana
Hivi vitu viko US
 
Back
Top Bottom