Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 13,942
- 27,467
unalosema ni kweli uaminifu bongo ni F..niliwahi kula kuku eneo moja sasa mpishi anajidai mjanja kumkatakata vipande kuja mezani nikamwambia huyu kuku hajakamilika akabishaMbongo mbele ya pesa atakulisha hata vibudu. Hao kuku wa kwenye mabucha tunakula tu ila tungejua wanavyowaandaa tusingegusa. Bongo hatuna uaminifu kabisa kwenye biashara. Hata hao samaki wanaweka midawa ya ajabu ili kuwatunza wasiharibike mapema.
nikamwambia namuunga vipande vyote hapa mezani na hata kamilika usifikiri unahudumia kilaza alisefahamu anatomy and pysiology ya huyo ndege na asipokamilika sikupi hata kumi na utamla wewe
aliomba anitengenezee mwingine mbona