Utunzaji wa vyakula kwenye friji

Utunzaji wa vyakula kwenye friji

😂😂😂 kutokukata daily ndio uvivu?

Mahitaji nafanya kununua mengi sokoni, nikinunua nyanya nikiweka kwenye friji baada ya siku mbili zinaanza kuoza zinatoa ule utandu mweupe zinaambukizana nazitupa. Na ndio chanzo cha kubuni hii njia ya kuhifadhi

Sasa, niwe nanunua natumia chache nyingi natupa?? Au kila siku gengeni nyanya za jero jero?? 🙄
Ukinunua nyanya zitenge nzima na zilizopasuka alafu chukua nzima weka kwenye sehemu zijiachie tafuta malimalio yachanganye na izo nyanya na unga wa sembe mwagia juu nyanya haziharibiki
 
Itategemea na matumizi yako....kama upo peke ako sado nyingi sana, halafu nyanya ukiisha ichemsha hivo inakua kama nyanya ya kopo/pakti inatumika kidogo mnooo tofauti na ikiwa tunda bichi.

Kuna kipindi nilinunua kiroba cha kg 25 msimu wa nyanya, kiroba elf 8 nikachemsha nikahifadhi ilikaa mwaka na miezi 2
ntalifabyia kazi hili jambo asante.
 
Ukinunua nyanya zitenge nzima na zilizopasuka alafu chukua nzima weka kwenye sehemu zijiachie tafuta malimalio yachanganye na izo nyanya na unga wa sembe mwagia juu nyanya haziharibiki
Ahsante, nimeisave hii.....nitafanya hii nayo nione.
 
Itategemea na matumizi yako....kama upo peke ako sado nyingi sana, halafu nyanya ukiisha ichemsha hivo inakua kama nyanya ya kopo/pakti inatumika kidogo mnooo tofauti na ikiwa tunda bichi.

Kuna kipindi nilinunua kiroba cha kg 25 msimu wa nyanya, kiroba elf 8 nikachemsha nikahifadhi ilikaa mwaka na miezi 2
Unagandisha (freeze) au unaweka katika friji tu?
 
weka kwenye blenda ublend (ukiblend na maganda yanasagika)
Hii ndiyo njia sahihi ya kuandaa nyanya vinginevyo unabaki na makapi tu viini lishe vyote utakuwa umevitupa na maganda. Vitamin C kwenye nyanya iko imejishikisha kwenye ganda kwa ndani.
 
Labda kama umechinja ka umbwa kako mwenyewe, lakini hawa wa kuchinjiwa na Wahehe lazima uoshe aisee!
Uwe unanunua nyama kutoka bucha za serikali na hata ranchi binafsi. Acha kununua kwa wagogo na akina Mangi.
 
Labda kama umechinja ka umbwa kako mwenyewe, lakini hawa wa kuchinjiwa na Wahehe lazima uoshe aisee!
Uwe unanunua nyama kutoka bucha za serikali na hata ranchi binafsi. Acha kununua kwa wagogo na akina Mangi.
 
Uwe unanunua nyama kutoka bucha za serikali na hata ranchi binafsi. Acha kununua kwa wagogo na akina Mangi.
Mimi mwenyewe mtaalam wa mambo ya nyama najua. Nawatahadharisha tu hao wanaosema wachukue nyama na kuweka tu kwenye friji!
 
Back
Top Bottom