Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 28,816
- 58,461
Namaanisha kila kituUmemaliza kula kitu
Namaanisha kila kituUmemaliza kula kitu
Friji halitakiwi kuzinwa mkuu labda umeme ukatike tofauti na hapo friji linatakiwa muda wote liwe on labda liwe bovu au ule mfumo wake wa kujizima na kujiwasha umeharibika hapo unaweza kuwa unalizimaHabari!!!! Naomba kujua mnatunza vipi vyakula kwenye friji? Mfano; samaki,nyama,nyanya,karoti,matunda,na mboga mboga? Je? Mnawasha friji kila siku bila kulipumzisha,au mnawasha kwa mda hadi nyama zigande na lile baridi ndipo mnazima au mnafanyaje?
Weka nyama kwenyemfuko wa plastic kabla ya kuweka kwenye frijiKuna mahali nilikula nyama haina hata nukta ya ladha, mara 100 hata maji ya kunywa, friji ni taste loser..
Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Weka kwny mfuko wa lailoni ila usiufunge uache wazi ki ubaridi kiwe kinaigusaOoh hiyo pia njia nyingine kuihifadhi kama juice 👍
Hivi viungo vya majani vinahifadhiwaje navyo, visikauke au kunyauka kama kotmir na rosemarry.
Mie nikihifadhi sana ni siku mbili tu
.......😀kweli aisee, shida nyingine ni za kujitakia.....Braza oa upikiwe madikodiko 😁
Hadi hapo roho wa Mungu kaisha uonesha na mke ila unajifanya huelewi 😂.......😀kweli aisee, shida nyingine ni za kujitakia.....
Okay inawekwa tu na damu yake?? Kama alivyo nduli Idi AminNyama iliyotoka kwa mnyama aliyechinjwa kisawasawa na katika mazingira safi, haitakiwi kuoshwa.
😀😄hata kama mke mwema anatoka kwa bwana , ila sio yule bhana, aishie kupika tu kwakweli......Hadi hapo roho wa Mungu kaisha uonesha na mke ila unajifanya huelewi 😂
Ana nini na umesifia hadi pishi ...😀😄hata kama mke mwema anatoka kwa bwana , ila sio yule bhana, aishie kupika tu kwakweli......
Nyama kutoka kwa mnyama aliyechinjwa na kuacha damu itoke, haiwezi kuwa na damu. Nyama za vibudu na wanyama walionyongwa ndio huwa na damu. Au kama mnyama amechinjiwa sehemu palipo na damu basi nyama yake inaweza kuwa na damu.Okay inawekwa tu na damu yake?? Kama alivyo nduli Idi Amin
Uko sahihi kabisa. Unajua hili suala la uongozi mbovu linakuwa na multiplier effects nyingi sana ambazo zinagusa society nzima, kiasi ambacho watu wanashindwa kuunganisha uhusiano wa moja kwa moja. Maisha magumu yamefanya watanzania wengi kuwa kama wanyama na kukosa uaminifu. Hapa kwenye vyakula tunavyokula, ni hatari sana. Ukifuatilia kwa mfano kuku, kuanzia malisho wakati wa ufugaji, utayarishaji na upikaji utakuta kuna makandokando mengi sana.Mbongo mbele ya pesa atakulisha hata vibudu. Hao kuku wa kwenye mabucha tunakula tu ila tungejua wanavyowaandaa tusingegusa. Bongo hatuna uaminifu kabisa kwenye biashara. Hata hao samaki wanaweka midawa ya ajabu ili kuwatunza wasiharibike mapema.
Mimi nikitaka kula nyama ya kuku naenda sokoni namchukua akiwa hai nikachinje mwenyewe. Kwa bongo mazingira yanaruhusu kuchinja mwenyewe badala ya kununua aliyechinjwa.Uko sahihi kabisa. Unajua hili suala la uongozi mbovu linakuwa na multiplier effects nyingi sana ambazo zinagusa society nzima, kiasi ambacho watu wanashindwa kuunganisha uhusiano wa moja kwa moja. Maisha magumu yamefanya watanzania wengi kuwa kama wanyama na kukosa uaminifu. Hapa kwenye vyakula tunavyokula, ni hatari sana. Ukifuatilia kwa mfano kuku, kuanzia malisho wakati wa ufugaji, utayarishaji na upikaji utakuta kuna makandokando mengi sana.
Dada samahanin; Unachemsha kawaida? Hamna haja ya kuweka chumvi au preservatives zingine kama vinegar?Itategemea na matumizi yako....kama upo peke ako sado nyingi sana, halafu nyanya ukiisha ichemsha hivo inakua kama nyanya ya kopo/pakti inatumika kidogo mnooo tofauti na ikiwa tunda bichi.
Kuna kipindi nilinunua kiroba cha kg 25 msimu wa nyanya, kiroba elf 8 nikachemsha nikahifadhi ilikaa mwaka na miezi 2
Fridge ni plants au kiwanda cha kuzalisha magonjwa.Habari!!!! Naomba kujua mnatunza vipi vyakula kwenye friji? Mfano; samaki,nyama,nyanya,karoti,matunda,na mboga mboga? Je? Mnawasha friji kila siku bila kulipumzisha,au mnawasha kwa mda hadi nyama zigande na lile baridi ndipo mnazima au mnafanyaje?
Nakuunga mkono.Mimi nikitaka kula nyama ya kuku naenda sokoni namchukua akiwa hai nikachinje mwenyewe. Kwa bongo mazingira yanaruhusu kuchinja mwenyewe badala ya kununua aliyechinjwa.
Huwa unatumia limao au ndimu?.......sijui nilikuwa wapi ndo naona saiz, ashukuriwe mtoa mada, lakini zaidi ya yote ashukuriwe huyu Evelyn Salt pia hata Aaliyah, mmetusaidia pakubwa sisi mabachela hasa tusiopenda kula vibandani, nawatunuku tuzo ya ukungwi wa mapishi na lishe hapa jf, kongole sana......
........nje ya mada, mimi bana kila nikipika dagaa au samaki wale wakavu mchuzi unakuwa mchungu sana sifahamu kwa nini, hata nikiosha vizuri kwa maji ya moto lakini mamichuzi bado makali tuuu! lkn nikimpa mdada anisaidie kupika zinakuwa tamu.......