Utunzaji wa vyakula kwenye friji

Utunzaji wa vyakula kwenye friji

Si ukate daily fresh tomatoes..
😂😂😂 kutokukata daily ndio uvivu?

Mahitaji nafanya kununua mengi sokoni, nikinunua nyanya nikiweka kwenye friji baada ya siku mbili zinaanza kuoza zinatoa ule utandu mweupe zinaambukizana nazitupa. Na ndio chanzo cha kubuni hii njia ya kuhifadhi

Sasa, niwe nanunua natumia chache nyingi natupa?? Au kila siku gengeni nyanya za jero jero?? 🙄
 
😂😂😂 kutokukata daily ndio uvivu?

Mahitaji nafanya kununua mengi sokoni, nikinunua nyanya nikiweka kwenye friji baada ya siku mbili zinaanza kuoza zinatoa ule utandu mweupe zinaambukizana nazitupa. Na ndio chanzo cha kubuni hii njia ya kuhifadhi

Sasa, niwe nanunua natumia chache nyingi natupa?? Au kila siku gengeni nyanya za jero jero?? 🙄
Na ww nakutania unadhani mm sifanyi?? Hyo njia ni nzuri sanaa mm nachanganya na kitunguu swaumu na tangawizi nablend sichemshi naweka kama jiuice kwa friji nachukua kido kido...ukiweka kitunguu swaumu it lasts longer...
 
Na ww nakutania unadhani mm sifanyi?? Hyo njia ni nzuri sanaa mm nachanganya na kitunguu swaumu na tangawizi nablend sichemshi naweka kama jiuice kwa friji nachukua kido kido...ukiweka kitunguu swaumu it lasts longer...
Ooh hiyo pia njia nyingine kuihifadhi kama juice 👍

Hivi viungo vya majani vinahifadhiwaje navyo, visikauke au kunyauka kama kotmir na rosemarry.
Mie nikihifadhi sana ni siku mbili tu
 
u
Itategemea na matumizi yako....kama upo peke ako sado nyingi sana, halafu nyanya ukiisha ichemsha hivo inakua kama nyanya ya kopo/pakti inatumika kidogo mnooo tofauti na ikiwa tunda bichi.

Kuna kipindi nilinunua kiroba cha kg 25 msimu wa nyanya, kiroba elf 8 nikachemsha nikahifadhi ilikaa mwaka na miezi 2
unaweka kwenye frij au frizer
 
Ok kumbe unamaanisha kuweka kwenye mfuko mmoja. Asante
hata kwa wafanya bishara wa kuku wabichi hua wanachemsha sana kuhifadhi kuku na samaki wabichi kwenye jokofu moja

elimu ndio shida pia wengine huweka kuku bila mifuko huku wakiwa na damu ubaridi ukipungua tuh ni shida ukifungua hilo jokofu ni arufu ya ushuzi mtupu
 
Habari!!!! Naomba kujua mnatunza vipi vyakula kwenye friji? Mfano; samaki,nyama,nyanya,karoti,matunda,na mboga mboga? Je? Mnawasha friji kila siku bila kulipumzisha,au mnawasha kwa mda hadi nyama zigande na lile baridi ndipo mnazima au mnafanyaje?
Mkuu binafsi mimi friji ni 24hrs labda umeme ukatike au siku ya kufanya usafi ndiyo linazimwa.
 
Back
Top Bottom