Nigga What
Senior Member
- May 1, 2021
- 164
- 438
Hivi kirefu Cha MDA's & LGA's ni nini nyie wenzangu mliosomwa kozi za utawala
Ministries, Departments, agencies & Local government authorities i stand to be corrected
Hivi kirefu Cha MDA's & LGA's ni nini nyie wenzangu mliosomwa kozi za utawala
Hivi kirefu Cha MDA's & LGA's ni nini nyie wenzangu mliosomwa kozi za utawala
Ministries, Departments, agencies & Local government authorities i stand to be corrected
Asanteni sana Wakuu kwa kunipa mwongozo 🙏🙏🙏MDA’s=Ministries, Departments and Agencies
LGA’s= Local Gvt Authorities
Hongera mkuu bado sie watu wa finance tunasubiri waturuhusuBaada ya majaribio mengi kushindikana na kuamua kuanzisha uzi huu hatimaye nami nimeweza kuapply kazi niliyokuwa nataka. Niwapongeze Utumishi kwa kurekebisha baadhi ya kero kama hizi, natumaini wataendelea kuboresha hata kwa wale ambao wanashindwa kuomba waweze kuomba pia.
Nakushauri uanzishe uzi, ni rahisi zaidi tatizo lako kuonekana kwa wahusika kuliko kukomaa hapa.Hongera mkuu bado sie watu wa finance tunasubiri waturuhusu
Nineshaanzisha chief tangu Jana,nazungumzia watu wa bcom financeNakushauri uanzishe uzi, ni rahisi zaidi tatizo lako kuonekana kwa wahusika kuliko kukomaa hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Upo sahihiUkweli ni kwamba inawezekana wanaopanga au waliopanga hizi criteria za za ajira portal hawajui au hawana uelewa kuhusiana na bachelor degrees zinazotolewa Tanzania na zinahusiana na Mambo gani Kuna mkanganyiko Sana huko ajira portal na Nina wasiwasi Kuna baadhi ya advertised post huwa zinabaki bila kuombwa kwa kigezo Cha JOB APPLICATION FAILED
Pia zipo kazi ambazo zipo specifically kwa watu wa finance but wa finance hawawezi kuomba ila wa account wanaweza mfano mtu kasoma degree ya banking and finance Lakini kwenye post ya tutorial assistant wa FINANCE hawezi omba ila wa degree ya account anaomba fresh tuMm hata siwaelewi kwa kweli hivi inakuwaje watu wa account kuna kazi hawaruhusiwi kuomba ila finance wana apply. Kuna kitu hakijakaa sawa utumishi
mkuu uliomba kazi gan utumishi kwa kupitia koz ya public relationBaada ya majaribio mengi kushindikana na kuamua kuanzisha uzi huu hatimaye nami nimeweza kuapply kazi niliyokuwa nataka. Niwapongeze Utumishi kwa kurekebisha baadhi ya kero kama hizi, natumaini wataendelea kuboresha hata kwa wale ambao wanashindwa kuomba waweze kuomba pia.
Wanataka tutorial wa nini??Kuna nafasi ya tutorial assistant OUT, wanataka mtu aliesoma bachelor of education, Mimi nimesoma bachelor of education in psychology inakataa😂😂
EducationWanataka tutorial wa nini??
Hawaja specify somo?Education
Hapana wamesema bachelor of arts with education/bachelor of education basiHawaja specify somo?
Edit taarifa zako weka bachelor of arts the weka cheti afu omba kazi mzeeHapana wamesema bachelor of arts with education/bachelor of education basi
Sawa ila mpaka nimeona uvivuEdit taarifa zako weka bachelor of arts the weka cheti afu omba kazi mzee
Unaona uvivu mzee au umepata kazi??Sawa ila mpaka nimeona uvivu