Babarita
JF-Expert Member
- Dec 14, 2011
- 388
- 126
bora umemwambiawe ushawahi kuona nyeti zetu mpaka utuite watoto?
bora umemwambiawe ushawahi kuona nyeti zetu mpaka utuite watoto?
ngoja niku-PM nimechoka kuatype kuelezea kila anayenipm namfowardia juu kwa juu!! lol, nipo mwaya hakuna mbayanipo best.....nini shida tena bana......imekuwaje....?
watu walioumbwa na tifutifu niwapeleke wapi??? namtaka mwanaume aliyefinyangwa na mfinyanzi halisi, mwenye staha na kujiamini, huyo wa kushabikia mambo mitandaoni, hana tofauti na mie ninayesuka twende kilioni! nicas upo?? tena hubby wangu Asprin asikusikie unaongelea habari za mie kutakwa na mtu mwingine!! lol, anaweza ua mtu
umeona eeeeeee?? kuna watu unatamani uwageuze mayai kwenye ovaries, watoke kila mwezi tukienda kuudhuru mwezi na shuttle zetu za asili!achana naye... kama vp mtunze kwenye utumbo mpana hatma yake ataijua mwenyewe!!!!
Haya ndo matatizo ya kuanza kupiga msuba ukubwani,we mwana hizaya wewe alokutuma uje chitchat nani,umelazimishwa,au kura zako za uneki hazikutosha ndo ukaja kumalizia mihasira hapa,tena utukome kama mitt romney alivyowakoma wapiga kura wa marekani.
Anatushauri tuachane na chitchat tuwe tunashinda naye saluni tukipiga umbea,
Ananchekesha ( source: FF).
Mtoa mada in real life kwa taarifa yako ni bi kidude.
Achana nae,uso umemkakamaa utadhani ni juma kaseja baada ya kufungwa bao la pili na mtibwa.
Mpe twisheni huyo,hajui asemalo utadhani yuko leba anakaribia kujifungua.
Na ashindwe na kulegea,chitchat iko juu kama Obama,dadadaddedededki.
Huu mjadala nadhani umetupa sababu nyingine ya kukutana Brajec kuujadili.asiyejua maana haambiwi maaana
ATUWACHE TUPUMUWEEEEEEEE!!!!!!!
source: cacico / kasiko......
copy to: Asprin... Mtambuzi... Nicas Mtei... Madame B
unajua maana ya Chit Chat.....?
Huu mjadala nadhani umetupa sababu nyingine ya kukutana Brajec kuujadili.
Madame B na Nicas Mtei, tunaomba mwongozo wenu tafazali
Tena naua na nyama zake nalisha mbwa koko wetuwatu walioumbwa na tifutifu niwapeleke wapi??? namtaka mwanaume aliyefinyangwa na mfinyanzi halisi, mwenye staha na kujiamini, huyo wa kushabikia mambo mitandaoni, hana tofauti na mie ninayesuka twende kilioni! nicas upo?? tena hubby wangu Asprin asikusikie unaongelea habari za mie kutakwa na mtu mwingine!! lol, anaweza ua mtu
Siku hizi kuna ndege ya buku 80 tu. Ntakufanyia mpango wa kurudi. Huu mjadala ni muhimu kwa mustakabali wa taifa letu la chit chat dhidi ya mamluki waliotoroka Mirembe.fo shoooo babu..... ngoja nifanze ufisadi nije teba town......
Huu mjadala nadhani umetupa sababu nyingine ya kukutana Brajec kuujadili.
Madame B na Nicas Mtei, tunaomba mwongozo wenu tafazali
fo shoooo babu..... ngoja nifanze ufisadi nije teba town......
Siku hizi kuna ndege ya buku 80 tu. Ntakufanyia mpango wa kurudi. Huu mjadala ni muhimu kwa mustakabali wa taifa letu la chit chat dhidi ya mamluki waliotoroka Mirembe.
Karibu tena mlimbwende.. I hope ntakuwa mwenyej wako
MzunguMndali kama kichwa cha habari chahusika, bsi mie tumbo la habari lahusika, umetumwa? haya toweka mkuu, wasalimie huku ambako hakuna utoto, huku tupo watoto tu.... byeeeeeeeee mzungu wapi wewe? Muongo tu kwanza
AHAHAHAHAHAHAHHAHAHHAHAHHAHAHAH unamaanisha atuangalie kama tunanyolea vya karatasi au viwembe vya bati!ahahahhahahhahah lol!mi staki jamani!
Najua ukweli unauma!!!
akope nani finca ambako limit milioni tano? Bishanga mtu fnb na cutibank bana.Kwa mara ya kwanza baada ya miezi kadhaa Bishanga anaonyesha ukali wake hadharani! Ukiona hivyo ujue kamaliza lile deni lake la FINCA
my sweetpie,siku hizi nimebanwa baada ya kupata kazi ya ukorokoroni benki,darling Kongosho nakumisije? Mmmmmwwwwaaaaaaa!!!!!!Hivi Bishanga, huoni kama unautesa Moyo wangu??
Yaani nakuhonga Like afu wala hunisalimii??
Kweli mapenzi yako ni sawa na Boko Haramu