Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,100
- 1,955
Haya ndo matatizo ya kuanza kupiga msuba ukubwani,we mwana hizaya wewe alokutuma uje chitchat nani,umelazimishwa,au kura zako za uneki hazikutosha ndo ukaja kumalizia mihasira hapa,tena utukome kama mitt romney alivyowakoma wapiga kura wa marekani.
Kwa mara ya kwanza baada ya miezi kadhaa Bishanga anaonyesha ukali wake hadharani! Ukiona hivyo ujue kamaliza lile deni lake la FINCA