Utoto Umezidi humu

Utoto Umezidi humu

Haya ndo matatizo ya kuanza kupiga msuba ukubwani,we mwana hizaya wewe alokutuma uje chitchat nani,umelazimishwa,au kura zako za uneki hazikutosha ndo ukaja kumalizia mihasira hapa,tena utukome kama mitt romney alivyowakoma wapiga kura wa marekani.

Kwa mara ya kwanza baada ya miezi kadhaa Bishanga anaonyesha ukali wake hadharani! Ukiona hivyo ujue kamaliza lile deni lake la FINCA
 
Ukweli mtupu aliopost ingawa hajadadavua post yake
 
MzunguMndali kama kichwa cha habari chahusika, bsi mie tumbo la habari lahusika, umetumwa? haya toweka mkuu, wasalimie huku ambako hakuna utoto, huku tupo watoto tu.... byeeeeeeeee mzungu wapi wewe? Muongo tu kwanza
 
Last edited by a moderator:
Achana nae,uso umemkakamaa utadhani ni juma kaseja baada ya kufungwa bao la pili na mtibwa.

uso umemtutumuka ka uji wa vitumbua kikaangoni, ukijumlisha na huo uzungu wake sasa pua sijui itakua saizi ya ndonya....
 
Jamaa kama ni za uso ulikuwa unatafuta,umezipata!
Hili jukwaa si size yako!!
 
Kwa mara ya kwanza baada ya miezi kadhaa Bishanga anaonyesha ukali wake hadharani! Ukiona hivyo ujue kamaliza lile deni lake la FINCA

umenena sijawahi muona bishanga akimgombeza mtu LAIVU bila chenga kweliii
 
joining date 27th september 2012
posts 80
reply power 327
likes received 17
likes given 1

umetokea dunia gani wewe huna hata miez unakuja tukana babu na bibi zakoo waliokutangulia jamvini??
Badala uombe mwongozoo unakuja kukejeli watu blaaaaliii fuuuuuulll
 
we ushawahi kuona nyeti zetu mpaka utuite watoto?

AHAHAHAHAHAHAHHAHAHHAHAHHAHAHAH unamaanisha atuangalie kama tunanyolea vya karatasi au viwembe vya bati!ahahahhahahhahah lol!mi staki jamani!
 
MzunguMndali kama kichwa cha habari chahusika, bsi mie tumbo la habari lahusika, umetumwa? haya toweka mkuu, wasalimie huku ambako hakuna utoto, huku tupo watoto tu.... byeeeeeeeee mzungu wapi wewe? Muongo tu kwanza

ahahahahahhahhahah chezeya tumbo la habari la chit chat!ATUWAAACHE!
 
Back
Top Bottom