Utoto Umezidi humu

Utoto Umezidi humu

Kichwa cha habari kinahusika.
Misuto,umbeya na habari zisizo na mantiki...aarghhh!!!!

MWONE SURA MBAYA KA UMENYIMWA URITHI!
kuna mtu kakuita huku!
wewe uliyekua ushamaliza nyembe ngapi?
mbele hujijui nyuma hukutambui.
hebu tupishe!
 
uso umemparama kama tambara la deki lililokauka nyambafu!AMEITWA KWANI!MUULIZE KAITWAA!?

Aitwe na nani?
Anatafutwa Bwana huyo.
Na ye muache tutamuitia wanaume zetu wa CC wamTEST.
Juso kama sehemu za siri za Nyani aliyebalehe Ukubwani.
 
tuache na utoto wetu sasa we umefuata nini??
 
Amelambwa ban baada ya kuleta udini siasani!
Kaja na Id nyingine,nayo imelambwa ban!
we mtu mbona ni mmbeya sana!! ulinilamba wewe!! mfyuuuuuuuuuu, unatafuta umaarufu baharini???? papa na nguva nao wafanyeje???
 
Amelambwa ban baada ya kuleta udini siasani!
Kaja na Id nyingine,nayo imelambwa ban!
nimekupa na like, kukuonyesha nipo hai! acha ufitini na umbeya, na kama umetumwa, kamwambie hukunikuta!
 
Inawezekana anakutaka.
watu walioumbwa na tifutifu niwapeleke wapi??? namtaka mwanaume aliyefinyangwa na mfinyanzi halisi, mwenye staha na kujiamini, huyo wa kushabikia mambo mitandaoni, hana tofauti na mie ninayesuka twende kilioni! nicas upo?? tena hubby wangu Asprin asikusikie unaongelea habari za mie kutakwa na mtu mwingine!! lol, anaweza ua mtu
 
Last edited by a moderator:
'jamani mtuwache tupumuweeeeeee' lolest! kama huiwezi chit chat separenya, lol!
 
Back
Top Bottom