Utoto Umezidi humu

Utoto Umezidi humu

Usisahau kupitia yale maeneo ya kujidai pale kwa Papaa

Hahahahahaha
Papaa hataki watoto wake tuwe na majonzi na ndo mana huwa tukiwa pale viti virefu ni mwendo wa Kill mpaka twabebwa juu juu.
Halafu Nicas Mtei nasikia mliingia na Dompo kwenye Coaster we na Kelvin.
 
Last edited by a moderator:
hah hah hah hah haaa! Uliza, tumeamka salama!? Nipo na wifu hapa!. Nilitaka kumjibu babu Asprin nikaji mix. Anyway, watu wa Dar ni wazito sana. Nasubiri nione watakaokuja Tanga. I hope you'll be there. Tumeamka salama sana.

Filipo kwa kujishaua mh...eti niko na wife, mwenye wife utakuwa wewe? Hujawaona Bishanga na Kongosho wake?

Afu nimekuota !
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahaha
Papaa hataki watoto wake tuwe na majonzi na ndo mana huwa tukiwa pale viti virefu ni mwendo wa Kill mpaka twabebwa juu juu.
Halafu Nicas Mtei nasikia mliingia na Dompo kwenye Coaster we na Kelvin.

kuna kitu kinaitwa Usambara wine. Ni ya ukweli.
 
Last edited by a moderator:
Haya ndo matatizo ya kuanza kupiga msuba ukubwani,we mwana hizaya wewe alokutuma uje chitchat nani,umelazimishwa,au kura zako za uneki hazikutosha ndo ukaja kumalizia mihasira hapa,tena utukome kama mitt romney alivyowakoma wapiga kura wa marekani.
Daah hivi kumbe hata matajiri yana maneno ya uswahilini hivi? Bishanga kuna jirani ananisumbua nakualika uje unisaidie kumsuta!
 
Last edited by a moderator:
i_am_ashamed_of_myself_tee_shirt-r210a90dec1a9464e9aadd79377127ffd_804gs_512.jpg
 
Back
Top Bottom