Zanzibar 2020 Utitiri wa watiania kiti cha Urais Zanzibar

Wengi ni mapandikizi ya ACT na kina 'Membe' wa Zanzibar na lengo lao ni kuleta zilzala ya kisiasa ikitokea Wagombea wao wametemwa au kudhoofisha chama baada ya uteuzi
 
inawezekana kabisa safari hii wanzanzibari wameshtuka hawataki chaguliwa raisi na watanganyika watakao kutana pale dodoma
 
Hili la mtu mmoja kuchukua fomu halikushangazi mkuu, ukashangae la zanzibar.....basi wewe ni ajabu kuliko ajabu lenyewe..
 
Kwani katiba ya CCM inaruhusu mwisho wangapi?
Kikokotoo cha CCM ni 5 - 3 - 1
Bernard Membe anasema CCM yao mwaka 2015 ina formula ktk katiba yao yaani kikokotoo cha 5-3-1 kwa watia nia hata wakiwa waliochukua fomu wapo mia saba (700).


Mfano hao 700 watia nia Urais watachujwa Kamati Kuu na kubaki 5 kisha ngazi ya Halmashauri Kuu NEC watabaki 3 na Mkutano Mkuu utapitisha jina moja la mgombea aliye bora kupeoerusha bendera ya CCM.
Source : Adam Mzee
 
CCM wanaficha aibu ya Udikteta Bara kwa kujaribu kuonesha kwamba wanademokrasia sana, kumbe ni visiwani pekee huku bara ni udikteta.
 
Kilichopo ni kwamba atakae pasua ndani ya chama inamaana tayari ni Rais.na kupambana ndani ya chama ni ishu kubwa kuliko jukwaani.

Mshindani mkubwa nje ya chama ni Maalim, na maalim ni yuleyule wa 95-00-005-010-15,na ndo huyuhuyu wa 2020.wembe ni uleule.
 
Kwani tatizo ni nini?

Wanatumia haki zao za kikatiba.

Mnataka kuwanyima haki zao za kikatiba?
 
Back
Top Bottom