PostGE2025 Uteuzi wa Mawaziri na Viongozi wengine utakavyopunguza hasira za Watanzania na kurudisha imani hata robo kwa Rais Samia

PostGE2025 Uteuzi wa Mawaziri na Viongozi wengine utakavyopunguza hasira za Watanzania na kurudisha imani hata robo kwa Rais Samia

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

HesabuKali

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2016
Posts
2,880
Reaction score
5,879
Inafahamika wazi kabisa watu wengi hawaitaki hata kuisikia Serikali iliyopatikana baada ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 29 na kumsimika Rais Samia hali iliyopelekea maandamano yaliyosababisha maumivu makubwa.

Kama Rais Samia anataka utulivu hata wa asilimia 10 tu basi wafuatao asijaribu hata kwa bahati mbaya kuwafanya Mawaziri katika nchi hii.

1. Mwigulu
2. Bashe
3. Makonda
4. Kitila
5. Jenister
6. Ridhiwani
7. Ulega.
8. Mchengerwa
9. Lukuvi
10. Kabudi.
11. Makame

Kwenye uteuzi wako wa Mwanasheria karata imeharibika, ikikupendeza tuondolee huyu raia.

Kwenye RC, tuondolee huyu Monitor wa Dar, huyu ni zaidi ya mpuuzi na amekufanya hivyo unavyoonekana kwa kiasi kikubwa, Makala ondoa Arusha, wengine tutakukumbusha baadae.

Hawa na wengine watampunguzia hasara, wameomba kuwa wabunge basi wabaki hivyo mpaka 2030, na kama Rais unasikia basi hawa ndio chanzo cha machafuko nchini na sio Chadema.

Halafu huyu Abdullah Mwinyi umemteua mbunge ili akusaidie kitu gani ambacho katika wabunge wote wa chama chako hawana? Na huyu Bonah Kamoli mmempa viti maalumu kwa umaalumu gani alionao baada ya kushindwa kwenye kura?

Kama uteuzi wako umezingatia maslahi mapana ya nchi na sio yako binafsi, Ummy Mwalimu alikukosea nini utuambie, Kwamba Bulaya na wahuni wengine waliotoka Chadema walikuwa na maana sana hata baada ya kushindwa vibaya kwenye kura za maoni za chama chako ukaona wanafaa ila Ummy aliyeshinda hafai?

Nafikiri itaeleweka kila kiongozi utakayeteua sio mali yako, anaenda kuwatumikia Watanzania ambao ndio wamiliki wa nchi yao, hao hapo juu na wengine ukiona wanakupendeza wape kazi binafsi za nyumbani kwako.
 
1762835897173.jpeg
 
Inafahamika wazi kabisa watu wengi hawaitaki hata kuisikia Serikali iliyopatikana baada ya uchaguzi mkuu wa October 29 na kumsimika Rais Samia hali iliyopelekea maandamano yaliyosababisha maumivu makubwa.
Kama Rais Samia anataka utulivu hata wa asilimia 10 tu basi wafuatao asijaribu hata kwa bahati mbaya kuwafanya Mawaziri katika nchi hii.
1. Mwigulu
2. Bashe
3. Makonda
4. Kitila
5. Jenister
6. Ridhiwani
7. Ulega.
8. Mchengerwa
9. Lukuvi
10. Kabudi.
11. Makame
Kwenye uteuzi wako wa Mwanasheria karata imeharibika, ikikupendeza tuondolee huyu raia.
Kwenye RC, tuondolee huyu Monitor wa Dar, huyu ni zaid ya mpuuzi na amekufanya hivyo unavyoonekana kwa kiasi kikubwa, Makala ondoa Arusha, wengine tutakukumbusha baadae.
Hawa na wengine watampunguzia hasara, wameomba kuwa wabunge basi wabaki hivyo mpaka 2030, na kama Rais unasikia basi hawa ndio chanzo cha machafuko nchini na sio Chadema.
Halafu huyu Abdullah Mwinyi umemteua mbunge ili akusaidie kitu gani ambacho katika wabunge wote wa chama chako hawana? Na huyu Bonah Kamoli mmempa viti maalumu kwa umaalumu gani alionao baada ya kushindwa kwenye kura?
Kama uteuzi wako umezingatia maslahi mapana ya nchi na sio yako binafsi, Ummi Mwalimu alikukosea nini utuambie, Kwamba Bulaya na wahuni wengine waliotoka Chadema walikuwa na maana sana hata baada ya kushindwa vibaya kwenye kura za maoni za chama chako ukaona wanafaa ila Ummi aliyeshinda hafai?
Nafikiri itaeleweka kila kiongozi utakayeteua sio mali yako, anaenda kuwatumikia Watanzania ambao ndio wamiliki wa nchi yao, hao hapo juu na wengine ukiona wanakupendeza wape kazi binafsi za nyumbani kwako.
Wewe umeshamkubali Samia kama rais halali wa Tanzania?
 
Wewe umeshamkubali Samia kama rais halali wa Tanzania?
Hakuna sehemu nimesema Samia ni Rais halali, ila mpaka hapa tulipo kuna Rais anaitwa Samia na ndio maana nikasema anaweza kueleweka kwa 10% tu hizo 90% atatujibu ilikuwaje akapata 97% kupitia Tume ya mfukoni na uchaguzi akikuwa anashindana na nani kwa matakwa ya nani?
 
Hakuna sehemu nimesema Samia ni Rais halali, ila mpaka hapa tulipo kuna Rais anaitwa Samia na ndio maana nikasema anaweza kueleweka kwa 10% tu hizo 90% atatujibu ilikuwaje akapata 97% kupitia Tume ya mfukoni na uchaguzi akikuwa anashindana na nani kwa matakwa ya nani?
Hawezi kueleweka kwa lolote,sababu ccm wooote wako hapo baada ya damu kumwagika..wanakula matunda ya damu za watu na Wala hawaoni aibu..akitaka kueleweka aachie ngazi
 
teuzi haziondoi dhulma, mzizi wa tatizo ni dhulma na si nani kapewa cheo gani.
Wadhulumaji ni wateule wake, IGP si mteule wake? Kama angesimamia sheria yote haya yangekuwepo? Kama Tume aliyoteua ingetenda haki yangetokea haya? Kama hawa Mawaziri wangejua kazi zao vizuri unafikiri watu wangekuwa na tabu naye? Ndio maana tunamuonya kila mteule lazima akidhi mahitaji ya umma na sio yake binafsi, kinyume chake yaliyotokea yataendelee kwa kiwango cha juu zaid
 
Inafahamika wazi kabisa watu wengi hawaitaki hata kuisikia Serikali iliyopatikana baada ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 29 na kumsimika Rais Samia hali iliyopelekea maandamano yaliyosababisha maumivu makubwa.

Kama Rais Samia anataka utulivu hata wa asilimia 10 tu basi wafuatao asijaribu hata kwa bahati mbaya kuwafanya Mawaziri katika nchi hii.

1. Mwigulu
2. Bashe
3. Makonda
4. Kitila
5. Jenister
6. Ridhiwani
7. Ulega.
8. Mchengerwa
9. Lukuvi
10. Kabudi.
11. Makame

Kwenye uteuzi wako wa Mwanasheria karata imeharibika, ikikupendeza tuondolee huyu raia.

Kwenye RC, tuondolee huyu Monitor wa Dar, huyu ni zaidi ya mpuuzi na amekufanya hivyo unavyoonekana kwa kiasi kikubwa, Makala ondoa Arusha, wengine tutakukumbusha baadae.

Hawa na wengine watampunguzia hasara, wameomba kuwa wabunge basi wabaki hivyo mpaka 2030, na kama Rais unasikia basi hawa ndio chanzo cha machafuko nchini na sio Chadema.

Halafu huyu Abdullah Mwinyi umemteua mbunge ili akusaidie kitu gani ambacho katika wabunge wote wa chama chako hawana? Na huyu Bonah Kamoli mmempa viti maalumu kwa umaalumu gani alionao baada ya kushindwa kwenye kura?

Kama uteuzi wako umezingatia maslahi mapana ya nchi na sio yako binafsi, Ummy Mwalimu alikukosea nini utuambie, Kwamba Bulaya na wahuni wengine waliotoka Chadema walikuwa na maana sana hata baada ya kushindwa vibaya kwenye kura za maoni za chama chako ukaona wanafaa ila Ummy aliyeshinda hafai?

Nafikiri itaeleweka kila kiongozi utakayeteua sio mali yako, anaenda kuwatumikia Watanzania ambao ndio wamiliki wa nchi yao, hao hapo juu na wengine ukiona wanakupendeza wape kazi binafsi za nyumbani kwako.
Watu wa chuki ziso msingi na fitna
 
Bila watu kupigwa pingu na kufungwa hakuna kitakachofanyika - This is more than Politics, na kutokuziba Ufa ndio kumepelekea huu Ukuta kuanguka..
 
We mwehu kweli ? Unamuita Rais kashaguliwa na nani ? Kwa serikali gani ?
 
Inafahamika wazi kabisa watu wengi hawaitaki hata kuisikia Serikali iliyopatikana baada ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 29 na kumsimika Rais Samia hali iliyopelekea maandamano yaliyosababisha maumivu makubwa.

Kama Rais Samia anataka utulivu hata wa asilimia 10 tu basi wafuatao asijaribu hata kwa bahati mbaya kuwafanya Mawaziri katika nchi hii.

1. Mwigulu
2. Bashe
3. Makonda
4. Kitila
5. Jenister
6. Ridhiwani
7. Ulega.
8. Mchengerwa
9. Lukuvi
10. Kabudi.
11. Makame

Kwenye uteuzi wako wa Mwanasheria karata imeharibika, ikikupendeza tuondolee huyu raia.

Kwenye RC, tuondolee huyu Monitor wa Dar, huyu ni zaidi ya mpuuzi na amekufanya hivyo unavyoonekana kwa kiasi kikubwa, Makala ondoa Arusha, wengine tutakukumbusha baadae.

Hawa na wengine watampunguzia hasara, wameomba kuwa wabunge basi wabaki hivyo mpaka 2030, na kama Rais unasikia basi hawa ndio chanzo cha machafuko nchini na sio Chadema.

Halafu huyu Abdullah Mwinyi umemteua mbunge ili akusaidie kitu gani ambacho katika wabunge wote wa chama chako hawana? Na huyu Bonah Kamoli mmempa viti maalumu kwa umaalumu gani alionao baada ya kushindwa kwenye kura?

Kama uteuzi wako umezingatia maslahi mapana ya nchi na sio yako binafsi, Ummy Mwalimu alikukosea nini utuambie, Kwamba Bulaya na wahuni wengine waliotoka Chadema walikuwa na maana sana hata baada ya kushindwa vibaya kwenye kura za maoni za chama chako ukaona wanafaa ila Ummy aliyeshinda hafai?

Nafikiri itaeleweka kila kiongozi utakayeteua sio mali yako, anaenda kuwatumikia Watanzania ambao ndio wamiliki wa nchi yao, hao hapo juu na wengine ukiona wanakupendeza wape kazi binafsi za nyumbani kwako.

Mchengerwa ni candidate wa ICC.

Halafu watu kama Riz1 na Mwigulu sidhani kama wanapendwa na Wananchi. Au umesahau jinsi walivyochoma Mabasi ya Ester kwa jina la Mwigulu...!!?
 
CCM mmeshindikana, mnawaza kugawana vyeo tu.. Hapo unakuta mmeshaanza kuwaza Urais wa 2030.

Sisi wananchi tuna jambo letu tofauti kabisa na nyie, haki lazima itendeke kwanza ndipo mengine yafuate.

Tumepoteza vijana maelfu haijawahi kutokea. Siasa zenu hazitusaidii chochote kwa sasa.
 
Hakuna sehemu nimesema Samia ni Rais halali, ila mpaka hapa tulipo kuna Rais anaitwa Samia na ndio maana nikasema anaweza kueleweka kwa 10% tu hizo 90% atatujibu ilikuwaje akapata 97% kupitia Tume ya mfukoni na uchaguzi akikuwa anashindana na nani kwa matakwa ya nani?
Ukishashobokea teuzi umemkubali Samia kama rais halali wa Tanzania.

Kama si rais halali atateuaje?

Huelewi wapi?
 
Back
Top Bottom