Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,720
- 218,273
- Thread starter
- #81
Sasa inakuwaje mnasigina katiba ?CCM NDIO CHAMA IMARA NA CHENYE VIONGOZI IMARA
Sasa inakuwaje mnasigina katiba ?CCM NDIO CHAMA IMARA NA CHENYE VIONGOZI IMARA
Ni Katiba ya Nchi gani hii??? Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ibara ya 116 inahusiana na Mahakama ya Rufani.Muendelezo ule ule wa kuvunja katibaView attachment 1712997
JPM sijui kama ataondoka madarakani, Muda ukifika atasema sijamaliza kujenga fly over CHATO
Kama hizi ndio hoja za CHADEMA siku hizi basi nikiri kusema hakuna umuhimu wa upinzani tena. Kama mtu ana sifa na vigezo vya kuteuliwa , hakuna namna kufanywa hivyo
Tatizo lako haujui taratibu,ukifuatilia alianza kuapishwa kama balozi, tayari anakua mtumishi wa serikali then akaapishwa kama katibu mkuu kiongozi ,sasa apo amesigina vipi katiba?Sasa inakuwaje mnasigina katiba ?
Huwezi kuwa mtumishi wa umma halafu ukawa katibu wa chama. Tangu ateuliwe kuwa katibu wa CCM alikoma kuwa mtumishi wa umma.Mwal
Mwalimu wa chuo kikuu cha umma/ aliyefikia nafasi ya juu, huyo hatoshi kuwa afisa mwandamizi? Labda watusaidie mipaka ya hayo maneno ni kwa mtumishi aliyewahi kushika nafasi zipi
Uteuzi umemkuta na wadhifa gan?Tatizo lako haujui taratibu,ukifuatilia alianza kuapishwa kama balozi, tayari anakua mtumishi wa serikali then akaapishwa kama katibu mkuu kiongozi ,sasa apo amesigina vipi katiba?
Nasubiri siku polepole atakapoteuliwa kuwa Jaji Mkuu ama Mkuu wa Majeshi !!Chama kimeshika hatamu
Hivi Balozi ni mtumishi wa Umma?!View attachment 1712912
Je Katibu Mkuu kiongozi anapaswa kuteuliwa kutoka kwenye kundi gani , anaokotwa popote au anatoka kwenye Utumishi wa Umma ?
Huku kwenye nyaraka za Nchi (Katiba) kunamuelezaje mtu anayepaswa kuwa Katibu Mkuu kiongozi ?
View attachment 1713010
Sidhani kama kinachompa uhalali ni huo mtiririko wa Kuala, kwa kuwa katiba yenyewe imetoa definition ya mtumishi mwandamizi wa serikali na kwa maoni yangu Dr Bashiru anakidhi sifa zinazotajwa katika definition hiyo. Kwa hivyo hata asingeteukiwa kuwa Balozi bado angekidhi sifa ya kuwa KMK.Tatizo lako haujui taratibu,ukifuatilia alianza kuapishwa kama balozi, tayari anakua mtumishi wa serikali then akaapishwa kama katibu mkuu kiongozi ,sasa apo amesigina vipi katiba?
Kwa hiyo wewe kwenye hili hauko kwenye lile kundi linalodai Magufuli kavunja katiba?Sidhani kama kinachompa uhalali ni huo mtiririko wa katiba yenyewe imetoa definition ya mtumishi mwandamizi wa serikali na kwa maoni yangu Dr Bashiru anakidhi sifa zinazotajwa katika definition hiyo. Kwa hivyo hata asingeteukiwa kuwa Balozi bado angekidhi sifa ya kuwa KMK.
HajavunjaKwa hiyo wewe kwenye hili hauko kwenye lile kundi linalodai Magufuli kavunja katiba?
Hii siyo katiba ya sasa ni rasimu ya WariobaView attachment 1712912
Je Katibu Mkuu kiongozi anapaswa kuteuliwa kutoka kwenye kundi gani , anaokotwa popote au anatoka kwenye Utumishi wa Umma ?
Huku kwenye nyaraka za Nchi (Katiba) kunamuelezaje mtu anayepaswa kuwa Katibu Mkuu kiongozi ?
View attachment 1713010
Walau bado mpo ambao hamuongozwi na hisia ikija kwenye mambo yamhusuyo Magufuli...Hajavunja
Ni bahati mbaya tu hawa waandishi wanaotoa hizi taarifa za uteuzi hawajiongezi tu.......ingependeza wawe wanasema uteuzi umefanywa chini ya sheria/kigungu gani (Ile barua ya kuvunja Halmashauri ya Jiji la Dar ni mfano wa best practice - kwa maoni yangu).Kwa hiyo wewe kwenye hili hauko kwenye lile kundi linalodai Magufuli kavunja katiba?
Ha ha ha...Walau bado mpo ambao hamuongozwi na hisia ikija kwenye mambo yamhusuyo Magufuli...
safi nakubaliana na weweSidhani kama kinachompa uhalali ni huo mtiririko wa katiba yenyewe imetoa definition ya mtumishi mwandamizi wa serikali na kwa maoni yangu Dr Bashiru anakidhi sifa zinazotajwa katika definition hiyo. Kwa hivyo hata asingeteukiwa kuwa Balozi bado angekidhi sifa ya kuwa KMK.
Katibu mkuu wa CCM TAIFAUteuzi umemkuta na wadhifa gan?