Uteuzi wa Katibu Mkuu wa CCM kuwa Katibu Mkuu kiongozi wazua mjadala, Mnyika ajitokeza hadharani kuonyesha masikitiko yake

Ata mm naitaji kujua
Kwenye barua ya uteuzi ilitaja nafasi mbili za uteuzi huo kwanza katibu mkuu kiongozi na wakati huo huo akateuliwa pia kuwa balozi kwa hadhi inayowakilisha nchi kutokana na majukumu yake kubebwa taswira ya taifa ndani na nje ya nchi kiutendaji katika kusimamia maadili ya watumishi wa umma hovyo ndivyo nilivyoelewa mie.
 
Angeteuliwa yeye J J Mnyika angekataa?
Ndiyo yaleyale ya;

"....mbona unanilalamikia mimi kutoka nje ya ndoa (kuzini) wakati na wewe huwa unafanya hivyo..?"

Johnthebaptist, hii siyo ishu ya; "...angekuwa kateuliwa yeye angekataa...?"

It's about "principles". Tatizo haliko kwa mteuliwa, principally tatizo liko kwa mteuzi ku - violate principles....!!
 
Hatari sana watu wanavyo jilimbikizia madaraka na vyeo, mtu mmoja ana vyeo vitatu;

1) Yeye Katibu Mkuu Wa Chama.

2) Yeye Balozi.

3) Yeye Katibu Mkuu Kiongozi.

Mwingine nae anavyeo zaidi ya sita: Yeye Rais, Yeye Askofu, Yeye Mhubiri Wa Kanisa, Yeye Daktari, Yeye Injinia, Yeye Mwalimu, Yeye Dereva Taxi Bubu, Yeye Mkuu Wa Majeshi n.k

Yote hii kuwanyamazisha watakaotaka kupinga kuongezwa kwa mihula ya urais.

NB: Hili swala la kutaka kuongeza mihula ya urais, CCM wakitaka kulazimisha kwa kigezo bunge lote lakwao basi nchi hii inaingia kwenye mpasuko. Watu watakichafua vibaya sana maana sasa wanajuta kwanini waligoma kuandamana pindi Tundu Lissu alivotoa wito.
Aki enjo pia
 
Kama hizi ndio hoja za CHADEMA siku hizi basi nikiri kusema hakuna umuhimu wa upinzani tena. Kama mtu ana sifa na vigezo vya kuteuliwa , hakuna namna kufanywa hivyo
Alidhani amevunja katiba kwa kuwa Bushiru hakuwa mtumishi wa umma.
Ila mshikaji katumia akili kamteua kua balozi ili aweze kua mtumishi wa Umaa na atimize azma ya kteua kua balozi
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom