Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,638
- 218,072
- Thread starter
- #21
Bashiru hakuwa mtumishi wa umma baada kupewa ukatibu wa ccmMwal
Mwalimu wa chuo kikuu cha umma/ aliyefikia nafasi ya juu, huyo hatoshi kuwa afisa mwandamizi? Labda watusaidie mipaka ya hayo maneno ni kwa mtumishi aliyewahi kushika nafasi zipi