Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 59,003
- 103,391
Huo ni mtazamo wako lakini jamii ya watanzania ina imani kubwa na balozi Bashiru!
Wana imani au wanashurutushwa kuwa na imani naye?
Huo ni mtazamo wako lakini jamii ya watanzania ina imani kubwa na balozi Bashiru!
Cha msingi ni kuwa na imani bwashee!Wana imani au wanashurutushwa kuwa na imani naye?
Matako kama nyie ndio mnafanya watu weusi wawe masikiniAngeteuliwa yeye J J Mnyika angekataa?
Matako ni mama Turnkey!Matako kama nyie ndio mnafanya watu weusi wawe masikini
Cha msingi ni kuwa na imani bwashee!
😆😆😆😆Matako kama nyie ndio mnafanya watu weusi wawe masikini
Pia ni muhimu kujua makundi ya utumishi wa umma yaliyo ainishwa kwenye Sheria ya utumushi wa umma ili kupata uelewa zaidi kabla hujakosoa uteuziView attachment 1712912
Je Katibu Mkuu kiongozi anapaswa kuteuliwa kutoka kwenye kundi gani , anaokotwa popote au anatoka kwenye Utumishi wa Umma ?
Huku kwenye nyaraka za Nchi (Katiba) kunamuelezaje mtu anayepaswa kuwa Katibu Mkuu kiongozi ?
View attachment 1713010
Hivi katiba inazuia katibu mkuu wa chama kuteuliwa kuwa katibu mkuu kiongozi?ccm haina watu wengine hadi muanze kuhamishia chama Ikulu ?