Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 9,067
- 15,818
Utakuwa mfuasi mfia jiwe wewe si burekuna kakikundi kamoja kanajifanya kanataka kujimilikisha nchi yetu ya Tanzania na kuifanya mali yao ya kifamilia yao "ya ukoo wao". Hii nchi kuna siku tutaidai mikononi mwao, wanajaribu kutuchezea chezea kama midori. Siku moja watatafuta kwa kuficha sura zao mbaya..... Watanzania sio wapole, sio wote wazungumzaji..ukiwaficha wazungumzaji ambao wanawakilisha upande wa sisi ujue unazidisha chuki upande wako