Uteuzi: Rais Samia amteua Humphrey Polepole kuwa Balozi Malawi, Mchechu arudishwa NHC

Siye tusio na ajira tunaumia kusikia Mkurugenzi mstaafu ...anateuliwa tena kuwa mkurugenzi pahala pengine!
Hivi inakuwaje mstaafu anarudishwa kazini?

Huku ndio kupeana mashavu sasa. Huku watoto wa maskini waliojikongoja kusoma wanaambiwa waende veta au wajiajiri..
 
Ameteuliwa leo na kuapishwa ni kesho..yani hajapewa hata nafasi ya kujitafakari kuhusu uteuzi....na pia ameteuliwa kuwa balozi na hapo hapo vuai nahodha ameteuliwa kuchukua nafasi ya pole pole...amepewa options ngumu sana hapo polepole..lazima akubali tu hio teuzi maana mbadala wake ameshateuliwa tayari

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah! Kweli wahuni sio watu wazuri
 

POLEPOLE KUWA BALOZI MALAWI… kuteuliwa tarehe 14.3.2022 kuapishwa tarehe 15.3.2022 ?​

Kwanini ni dharura hivyo? Msechu wa NHC alifukuzwa na JPM na Samia leo anapewa nafasi ile ile na Samia?​

Mwenye kufahamu Samia anakutupeleka anielewesha tafadhali, mimi ninaona kama tunapotea njia.​

Halafu IGP wa polisi mstaafu anapewa Ukurugenzi bodi ya Bandari?

Huyu mama huyu....anakotupeleka.........
 
Back
Top Bottom