Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 14,238
- 22,664
Katupiwa fupa ili anyamaze wahuni wasafishe njia kuelekea 2025.
Kama kweli mzalendo akatae tuone.
Kama kweli mzalendo akatae tuone.
Ndiyo hivyo tena......ila Lukuvi nayeye alimzingua Nehemiah......na kumchongea chongea mpaka akatumbuliwaZiara ya naibu waziri ardhi .nyumba na makazi nhc ,imezaa matunda
Ile Shule YouTube nitaendelea kuileta ndugu mtanzania wala usiwazeAkirudi huko Kesha zeeka.
Sasa shule ya Uzalendo na #kataawahuni nani atafundisha.
Nehemia Mchechu NHC tena? Ni sababu zipi zilipelekea kutumbuliwa? Hazikuwa genuine?Hivi hakuna watanzania wengine?
Wahuni wabaya sanaAmetulizwa wenge
Akatae tuonePOLEPOLE KUWA BALOZI MALAWI …. Haendi
Wahuni wamemfukuza nchiniKataa wahuni
Hivi inakuwaje mstaafu anarudishwa kazini?Siye tusio na ajira tunaumia kusikia Mkurugenzi mstaafu ...anateuliwa tena kuwa mkurugenzi pahala pengine!
Dah! Kweli wahuni sio watu wazuriAmeteuliwa leo na kuapishwa ni kesho..yani hajapewa hata nafasi ya kujitafakari kuhusu uteuzi....na pia ameteuliwa kuwa balozi na hapo hapo vuai nahodha ameteuliwa kuchukua nafasi ya pole pole...amepewa options ngumu sana hapo polepole..lazima akubali tu hio teuzi maana mbadala wake ameshateuliwa tayari
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema mtandao wa Kikwete uko very smart na sio vingine,labda kama wewe ni bwana mdogo fulani usiye na upeo wa mamboAisee mama samia Yuko very smart and very calculated
😄akafundishe huko MalawiLile darasa la uongozi ndio bye bye😅
Ni kawaida kwa ccm na serekali zake kuwazima wenye "chokochoko"Kwa hiyo Polepole amestaafishwa ubunge, akatulie Malawi huko sio.
Fagia wabishi wote kuelekea 2025.
Kafa KISIASA kabisaaaaAmeulamba hatimaye
Wapigaji walikutana hawawezi kaa zizi moja.Ndiyo hivyo tena......ila Lukuvi nayeye alimzingua Nehemiah......na kumchongea chongea mpaka akatumbuliwa
Hakuna sababu za kumtumbua kwa vile atakuwa kanyamazishwa kwa kuteuliwa mtumishi wa umma.Uko anapiga kazi mwaka mmoja mama anamtumbua😊
😅Wapigaji walikutana hawawezi kaa zizi moja.
kn sehemu watu waliweka maslahi yao.sasa wanarudi kuendelea walipoishiaNdiyo hivyo tena......ila Lukuvi nayeye alimzingua Nehemiah......na kumchongea chongea mpaka akatumbuliwa
Watanzania wengine wapo ila Watanzania wenye uwezo ndio tatizo kubwa.Nehemia Mchechu NHC tena? Ni sababu zipi zilipelekea kutumbuliwa? Hazikuwa genuine?Hivi hakuna watanzania wengine?
Halafu IGP wa polisi mstaafu anapewa Ukurugenzi bodi ya Bandari?POLEPOLE KUWA BALOZI MALAWI… kuteuliwa tarehe 14.3.2022 kuapishwa tarehe 15.3.2022 ?
Kwanini ni dharura hivyo? Msechu wa NHC alifukuzwa na JPM na Samia leo anapewa nafasi ile ile na Samia?
Mwenye kufahamu Samia anakutupeleka anielewesha tafadhali, mimi ninaona kama tunapotea njia.