benzemah
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 1,504
- 3,034
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua Bw. Adam Charles Mihayo kuwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Biashara Tanzania (TCB).
Bw. Mihayo ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Afrika Tanzania.
Uteuzi huu umeanza tarehe 19 Novemba, 2023
Bw. Mihayo ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Afrika Tanzania.
Uteuzi huu umeanza tarehe 19 Novemba, 2023