bloggerboy
JF-Expert Member
- Nov 13, 2017
- 568
- 1,211
KAZIIENDELEE, Kachapeni kazi msiibe tu
Dini sio sifa ya Uteuzi acha ushamba kijanaMzee wa karma Pascal Mayalla pia hii imempita jamani? Halafu wote ni wa ule upande wanaokula kitimoto kwa kujificha.
JK anaupiga mwingi.Dadi Horace Kolimba...bila shaka ni kizazi kile kile cha kambale...
Vumilia,kutesa kwa zamuMzee wa karma Pascal Mayalla pia hii imempita jamani? Halafu wote ni wa ule upande wanaokula kitimoto kwa kujificha.
Jiwe alikua anaweka wachambia toilet pepaMmetutupa Sana wachambia toilet paper. Yani Jiwe asingekuwa careless na mbishi tungeongoza hadi achoke. Sasa hivi tutasubiri hadi 2040. Damn!
safi sana hiiNaona familia ya Kolimba imekumbukwa
Hivi vitu na hizi nafasi ndo vimewafanya vijana wetu wanapoteza network wakishinda mitandaoni kutetea madudu wakiamini ipo siku watakumbukwa.Naona familia ya Kolimba imekumbukwa
Vijana wengi humu ni CCM na CHADEMA ,HAYA TUSEME CCM WANASAKA UTEUZI KAMA ULIVYOSEMA ,Hivi vitu na hizi nafasi ndo vimewafanya vijana wetu wanapoteza network wakishinda mitandaoni kutetea madudu wakiamini ipo siku watakumbukwa.
kama taifa tupambane tutafute suluhisho la ajira kwa vijana wetu. Tunapoteza vijana kwa kuamini kwamba salama yao iko kwenye teuzi. Kitu ambacho si kweli.
😂😂😂 Huwa najiulizaga babu yangu alikuwa wapi enzi hizo watu wanajenga jina nchi hii. Hii nchi itakuwa ya kimasihara mpk siku tutakapoamua wananchi wenyewe tufanyejeDadi Horace Kolimba...bila shaka ni kizazi kile kile cha kambale...
Kumbe nafasi ya Sophia Mjema ilikuwa bado haijazibwa Arusha.