Hiyo inaitwa kutengeneza hitaji. Creating the demand.Urasimu sanaa hata qje nani hakuna kitu dart...wabinafshe tuuu
Ninamfahamu sana.Mhede akiwa TRA alikua so arrogant.
Very stupid guy.
Shida ya teuzi ni connection kuliko merit ,Kila siku itakuwa kujaza maji kwenye netDART angewekwa mzoefu wa transport na logistics tuache siasa kwenye huduma muhimu! miaka 9 hata kununua bas moja ya ziada hakuna
Kihamia anaweza kweli hata kusimamia biashara ya daladala moja??DART inatakiwa awekwe mtu mwenye mtizamo wa kibiashara.
Hilo Shirika ni la kubinafsisha na kiufupi hata boss wake alitakiwa iwe nafasi wa wazi ya ushindani Ili watu waombe.
Hii ya kuteua Watumishi wa Umma haiwezi kuleta Tija.Just imagine Rais anateua Hadi CEO wa DART,Kuna shida mahala.
Nitashangaa Msajili wa Hazina au Mamlaka ya Uwekezaji ya Mchechu kama hajashauri kubadili muundo wa uendeshaji wa DART.
Ni kweli kabisa,kama daladala wameruhusu sekta binafsi,why DART wasiruhusu hiyo kitu,kweli Kwa zama kama hizi tunajadili shida ya usafari Kwa mabasi yaendayo Kasi KWELI?na bara bara ipo why wasiruhusu competition sasaDart should be fully commercialized
Hivi Mhede muislam au mkristo?Ninamfahamu sana.
Tangu akiwa Ikulu alikuwa arrogant
Wamteue mnec Assas 😀DART angewekwa mzoefu wa transport na logistics tuache siasa kwenye huduma muhimu! miaka 9 hata kununua bas moja ya ziada hakuna
Ni Muislamu wa BakwataHivi Mhede muislam au mkristo?
Maana hii miislam na elimu Yao ya madrasa ni bure kbs...
Aaah Edwini na madrasa wapi na wapi, muimba kwaya huyo...Ni Muislamu wa Bakwata
Lengo ni kuwapa nafasi wale wa IjumaaDART angewekwa mzoefu wa transport na logistics tuache siasa kwenye huduma muhimu! miaka 9 hata kununua bas moja ya ziada hakuna
MuislamuHivi Mhede muislam au mkristo?
Maana hii miislam na elimu Yao ya madrasa ni bure kbs...
Toka Lin Edwini akawa muislam, migalatia hiyo ndiyo vinara wa kulitia taifa umaskiniMuislamu
ILA hajafikia daraja la kufuga majini na maruhani
Edwin MhedeHivi Mhede muislam au mkristo?
Maana hii miislam na elimu Yao ya madrasa ni bure kbs...
Mhhh MHEDE ana shida gani?mbona kila sehemu anashindwa kuperform?alikua TRA katolewa, now DART katolewa kabakisha tu uwenyekiti wa bodi ya NMB!ila Samia alitakiwa kumteua mtu mwenye vision ya biashara sio hawa kina Kihamia (wanasiasa hawa hawana jambo jipya)achomoe mtu huko ktk mabank/kampuni za simu etc!TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi na utenguzi wa viongozi kama ifuatavyo:Zuhura Yunus
1. Amemteua Dkt. Athuman Kihamia kuwa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART). Dkt. Kihamia aliwahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Arusha.
Dkt. Kihamia anachukua nafasi ya Dkt. Edwin P. Mhede ambaye uteuzi wake umetenguliwa na atapangiwa kazi nyingine.
2. Amemteua Bw. Musa N. Kuji kuwa Kamishna wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA). Bw. Kuji alikuwa akikaimu nafasi hiyo.
View attachment 2867897
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu