Uteuzi na Utenguzi: Dkt. Kihamia ateuliwa kuwa Mtendaji Mkuu wa DART, Kuji awa Kamishna wa Uhifadhi wa TANAPA

DART inatakiwa awekwe mtu mwenye mtizamo wa kibiashara.

Hilo Shirika ni la kubinafsisha na kiufupi hata boss wake alitakiwa iwe nafasi wa wazi ya ushindani Ili watu waombe.

Hii ya kuteua Watumishi wa Umma haiwezi kuleta Tija.Just imagine Rais anateua Hadi CEO wa DART,Kuna shida mahala.

Nitashangaa Msajili wa Hazina au Mamlaka ya Uwekezaji ya Mchechu kama hajashauri kubadili muundo wa uendeshaji wa DART.
Kihamia anaweza kweli hata kusimamia biashara ya daladala moja??
Sidhani kama anajua lolote kuhusiana na biashara ya usafiri au logistics.
 
Nadhani ielewekwe kwamba PhD sio kigezo cha utendaji.

Utendaji bora unahitaji vitu vingu ikiwemo Ubunifu, uwezo wa kufanya maamuzi, ushirikashaji wadau, usimamizi, kutambua unataka nini na lini na kwanini etc
 
Nafasi inayohitaji mtu mwenye exposure na transport business anakuja kuwekwa mwana Bakwata aliyekuwa katibu Tawala...Huyu hana cha kufanya zaidi kuleta siasa au kisa ana PHD
 
Hivi Mhede muislam au mkristo?

Maana hii miislam na elimu Yao ya madrasa ni bure kbs...
Edwin Mhede

Pili usimbague mtu ama kuweka taathira ya ubaguzi kwa misingi ya dini, imani, kabila, itikadi na hali yake
 
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi na utenguzi wa viongozi kama ifuatavyo:

1. Amemteua Dkt. Athuman Kihamia kuwa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART). Dkt. Kihamia aliwahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Arusha.

Dkt. Kihamia anachukua nafasi ya Dkt. Edwin P. Mhede ambaye uteuzi wake umetenguliwa na atapangiwa kazi nyingine.

2. Amemteua Bw. Musa N. Kuji kuwa Kamishna wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA). Bw. Kuji alikuwa akikaimu nafasi hiyo.

View attachment 2867897
Zuhura Yunus
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu
Mhhh MHEDE ana shida gani?mbona kila sehemu anashindwa kuperform?alikua TRA katolewa, now DART katolewa kabakisha tu uwenyekiti wa bodi ya NMB!ila Samia alitakiwa kumteua mtu mwenye vision ya biashara sio hawa kina Kihamia (wanasiasa hawa hawana jambo jipya)achomoe mtu huko ktk mabank/kampuni za simu etc!
 
Back
Top Bottom