Maharage alikuwa anajitapa kwa kuongea na rais moja kwa moja hata Makamba alimuogopa, na hapo posta wanamtumbua na nasikia account zake zote wameshashikilia soon hata hizo suti atavaa kobazRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi kama ifuatavyo:
Amemteua Bw. John Ulanga kuwa Balozi. Bw. Ulanga ni Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF)...
Kwahiyo alitoka kuwa mfunga madishi mpaka kuja kukabidhiwa shirika nyeti kama TANESCO? Haishangazi kwanini tumetumbukia kwa mgao wa umeme tena mkaliKwa wasio mfahamu huyu Maharage kabla ya kuja TANESCO alikuwa kiongozi wa Multichoice (ile kampuni inayomiliki DSTV) yaani kwa kifupi alikuwa boss wa wafunga madish wote wa DSTV na wafanyakazi wengine.
Tena alitakiwa awe kwaya masta kabisa. Anatuzimia umeme sisi? Anadharau mpaka mamlaka. Tena anasema anaacha mgao na kuanzisha ratiba. Ratiba na mgao tofauti yake nini?Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi kama ifuatavyo:
Amemteua Bw. John Ulanga kuwa Balozi. Bw. Ulanga ni Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF)...