Utegemezi wa Dunia sasa umeelekea Bara la Asia sio Magharibi tena. Kwaheri Umagharibi!

N'yadikwa

JF-Expert Member
Aug 10, 2014
6,826
9,533
Ni ukweli kwamba mwegemeo wa dunia kwa sasa "global economic activity center of gravity " unajiegemeza bara la Asia hasa mataifa ya Uchina, Indonesia na India pamoja na Falme za Kiarabu. Hakuna ubishi tena kwamba enzi au zama za umangimeza wa nchi za Magharibi umeshafikia mwisho.

Nchi zinazoendelea kwa sasa zinajilengesha Asia sio Paris Club tena au IMF nk. Uchina ndo kashika hatamu.
 
Asia ina very very very cheap Labour. Yaani wafanyakazi wenye mishahara midogo mno. Kwa hiyo gharama za uzalishaji zipo chini mno hasa huko Asia.
 
China,India na Mrusi japo ni Mzungu ila hayupo pamoja na wamagharibi hawa miaka inayokuja na BRICS yao watakua na nguvu sana
 
Ni ukweli kwamba mwegemeo wa dunia kwa sasa "global economic activity " umejilengesha bara la Asia hasa mataifa ya Uchina, Indonesia na India pamoja na Falme za Kiarabu. Hakuna ubishi tena kwamba enzi au zama za umangimeza wa nchi za Magharibi umeshafikia mwisho.

Nchi zinazoendelea kwa sasa zinajilengesha Asia sio Paris Club tena au IMF nk. Uchina ndo kashika hatamu.
Shule za Rwanda kuna somo la ki China
Tanzania niitegemea tujifunze toka Enzi za TAZARA.
pole kwa sisi
 
Ni ukweli kwamba mwegemeo wa dunia kwa sasa "global economic activity " umejilengesha bara la Asia hasa mataifa ya Uchina, Indonesia na India pamoja na Falme za Kiarabu. Hakuna ubishi tena kwamba enzi au zama za umangimeza wa nchi za Magharibi umeshafikia mwisho.

Nchi zinazoendelea kwa sasa zinajilengesha Asia sio Paris Club tena au IMF nk. Uchina ndo kashika hatamu.
bora iwe ivo,hawa wazungu wanazingua sana!!
 
Ni ukweli kwamba mwegemeo wa dunia
Bandiko limekaa kihisia zaidi kuliko uhalisia! Duniani tunategemeana kwenye nyanja zote!

Swali: Taja mataifa ya Asia na Mashariki ya kati yaliyozizidi nchi za magharibi upande wa teknolojia??
 
China,India na Mrusi japo ni Mzungu ila hayupo pamoja na wamagharibi hawa miaka inayokuja na BRICS yao watakua na nguvu sana
dominance yao inakwenda kuonekana very soon na sidhani hata Dollar kama itarudi kuwa na nguvu kama ilivyokuwa hapo kabla. Imagine ni mwaka naa sasa dollar haipatikani mtaani na uhaba wake upo maeneo mengi duniani. The West is falling.
 
Bandiko limekaa kihisia zaidi kuliko uhalisia! Duniani tunategemeana kwenye nyanja zote!

Swali: Taja mataifa ya Asia na Mashariki ya kati yaliyozizidi nchi za magharibi upande wa teknolojia??
Hivi Japan ipo Maghreb au mashrik
China 🇨🇳 imemzidi USA 🇺🇸
 
Tatizo unaeleza kwa matamanio yako iwe hivyo


Lkn hujaeleza how far kiuchumi mtazamo wako unafact

Mfano
Mchina amejikita kuzalisha na kuuza bidhaa duni

Je unadhani nchi za magharibi zinashindwa kuzalisha na kuudha bidhaa duni kwa nchi maskini?
 
Bandiko limekaa kihisia zaidi kuliko uhalisia! Duniani tunategemeana kwenye nyanja zote!

Swali: Taja mataifa ya Asia na Mashariki ya kati yaliyozizidi nchi za magharibi upande wa teknolojia??
Ukisoma vizuri between lines utaona uzi unatumia uendelezo, which means the West iko kwenye hatua za kuanguka...hao jamaa sasa hivi hata ku service miundombinu yao tu wameanza kushindwa...wana fund sana military activities wamejisahau kujenga chumi zao...East haipambani na vita ila wao West wanahangaika na nukes...they're loosing big time...soon China atakuwa kiongozi wa hii dunia akifuatiwa na Urusi then Western watakuwa tatu na kuendelea huko...facts zipo
 
Businesses zote sasa hivi zinazungumzia Uchina. Hapa tunazungumzia mega global businesses kuanzia hao kina Tesla, DP World, Apple, Electric car manufacturers, mega mining projects zote zikiwamo za madini ya betri na elektroniks nk
 
Ni ukweli kwamba mwegemeo wa dunia kwa sasa "global economic activity " umejilengesha bara la Asia hasa mataifa ya Uchina, Indonesia na India pamoja na Falme za Kiarabu. Hakuna ubishi tena kwamba enzi au zama za umangimeza wa nchi za Magharibi umeshafikia mwisho.

Nchi zinazoendelea kwa sasa zinajilengesha Asia sio Paris Club tena au IMF nk. Uchina ndo kashika hatamu.
wanaogeamea Magharibi ni vibaraka tu saivi 🐒
 
Ni ukweli kwamba mwegemeo wa dunia kwa sasa "global economic activity center of gravity " unajiegemeza bara la Asia hasa mataifa ya Uchina, Indonesia na India pamoja na Falme za Kiarabu. Hakuna ubishi tena kwamba enzi au zama za umangimeza wa nchi za Magharibi umeshafikia mwisho.

Nchi zinazoendelea kwa sasa zinajilengesha Asia sio Paris Club tena au IMF nk. Uchina ndo kashika hatamu.
Siku zote dola huwa zina mwisho wake. Kwa kumbukumbu tu, kulikuwa na dola ya Warumi (Roman Empire), dola ya Waturuki (Ottoman Empire), dola ya Waingereza (British Empire) na hawa mabeberu wa Marekani. Kwa sasa Wamarekani ndio wako mwishoni kabisa mwa utawala wao wa dunia, kwa saa dunia inaelekeza machi India na China. Ni suala la historia tu, wala haihitaji sayansi ya kwenda mwezini.
 
Ukisoma vizuri between lines utaona uzi unatumia uendelezo
Ndugu, hakuna uhalisia kwenye bandiko lako, zaidi ni zilezile hisia na siyo mantiki
East haipambani na vita ila wao West wanahangaika na nukes...they're loosing big time...
Unaona unaona unavyokosa mantiki!

Swali: Nchi zipi kumi (10) zinaongoza kuwa na uchumi mkubwa duniani? Je, nchi za Kimagharibi zipo ngapi? Unaelewa neno 'kimagharibi'?

Pitia hapa:


soon China atakuwa kiongozi wa hii dunia akifuatiwa na Urusi then Western watakuwa tatu na kuendelea huko...facts zipo
Lete hizo facts usilete hisia na mahaba! Mimi naanza! Naanza na China!

1)

What China's economic problems mean for the world​



The world's second-largest economy, home to more than 1.4 billion people, is facing a host of problems - including slow growth, high youth unemployment and a property market in disarray.


2)

Growth slows, risks abound, but economic and financial collapse can be avoided


There are concerns that China’s economy is headed for a crash
similar to those experienced by other high-flying Asian economies—such as Malaysia and Thailand. China’s overall debt has been a significant concern for many years. Over time debt has risen relative to the size of the economy—although gross debt levels are not out of line with those of other major economies, such as the United States and Japan


 
Back
Top Bottom