Utawasuluhishaje Flora na Ema Mbasha?

Utawasuluhishaje Flora na Ema Mbasha?

Haya njooni tusemezane, asema Bwana. Dhambi zenu zijapokuwa nyekundu nami nitazisafisha muwe weupe kama Sufi.

Neno hilo kutoka maandiko matakatifu, laweza kuwa utangulizi wa jitihada za kuwasaidia.
Katika hili Flora ana nafasi ya kuibuka shujaa, kama atatangaza kumsamehe mume wake. Atakuwa amemfuata vyema Yesu anayemhubiri (aliwasamehe wauaji wake), Papa John Paul II (alimsamehe aliyempiga risasi, Moses Kulola babu wa Flora (alimsamehe Kakobe)na Hillary Clinton (alimsamehe Bill Clinton na Lewinsky)
 
Emmanuel.....Mungu pamoja nasi
Emmanuel Mbasha.....shemeji pamoja nasi.
 
[/B]
Mnapomalizana kifamilia mnam favor mtuhumiwa,huyu aliyebakwa haki yake ataipata wapi?
Huyo bint ni yatima kumbuka,nani atamsimamia kwenye hivyo vikao vya familia?
Sheria ifuate mkondo wake tu,kuyamaliza kifamilia ni kumnyima haki yake bint.

Hgirl wangapi wanabakwa wankaakimya
Na yeeye akaekimya mpaka Yesu aakirudi ndoayawatuiendelee
 
Kama mahakama ikijiridhisha alibaka kweli,sheria ifate mkondo wake tu! Nakerwa wanaopenda kumaliza masuala ya ubakaji kifamilia!!!
Kuhusu hiyo ndoa yao,watajua wenyewe,wakiamua kusameheana au kila mmoja ashike njia. Kila mmoja asikilize moyo wake!!!!
Ndoa si lelemama!

Njia ipi ya segerea miaka 30 ama
 
nitawafungia chumbani siku tatu na kupitisha chakula kwenye kitundu kidogo..i'm sure wata do tu, na hapo watakuwa wameshapatana.

Mmmh! We mdada huwa natamani kukuona tu!
 
Hgirl wangapi wanabakwa wankaakimya
Na yeeye akaekimya mpaka Yesu aakirudi ndoayawatuiendelee


Kubakwa na kukaa kimya si sawa,akishitakiwa wengine watajiuliza mara mbili kabla hawajathubutu!
Atumikie adhabu ya kosa alilofanya then waje waendeleze ndoa yao!
 
nitawaambia wasikilize ule wimbo wao wa ndoa

dah waliimba wimbo mzuri sana wa ndoa... nayakumbuka mashair yake.. maisha ya ndoa yafananishwa na safar defu, njian kuna mambi mengi... dah ndoa haina fomula isee ni kwa neema tunaishi.
 
Ndoa ya watu we inakuhusu nini? yako mwenyewe yanakushinda ukasuluhishe ya wenzio...toa libanzi lako la jicho ndo ukamtoe mwenzio...umbea tu!!!
Wakiuwana kwa sababu ya ndoa yao kuvurugika ndo mnakuwaga wa kwanza kulia ka vile mna uchumgu, mkiambiwa toeni namna ya kusuruhisha ili wasiharibikiwe majibu yenu ndo hayo... UNAFIKI MTUPU
cc:
chelsea fc
The Boss
muuza ubuyu
masai dada
 
QUOTE=Chizi Fureshi;9670728]When i wented to school for fighting dengue me was good. In class number one no missing but now very kilometers from dar. Bring fastjet that i come that way and kill mosquito of dengue quickly![/QUOTE]


Wewe chi.zi fresh, lugha ya kikristo ngum sana, labda jarib kiislam
 
Back
Top Bottom