Kwanza wakapime VVU kabla ya kuwapatanisha...
unaniweka mimi wa akiba sio?
nami nakuweka wa dhaura, nitaita mtu hapa mi ooohooo....
Nimekasirika sana
Mmoja ajivue gamba au awe mpole mambo yasonge.
sitaki,tupeane nafasi kwanza,umenidhalilishaHahahaha come zis way mchepuko wangu wa ukwee.....
When i wented to school for fighting dengue me was good. In class number one no missing but now very kilometers from dar. Bring fastjet that i come that way and kill mosquito of dengue quickly!
suluhu wanayo wenyewe kwa kukiri mapungufu yao na kusameheana, lakini kumbuka kuna kesi ya ubakaji ambayo mlalamikaji hata akimsamehe mtuhumiwa bado sheria/jamhuri yaweza kuendelea na kesi hapo ndio kwenye changamoto
Sidanganyiki
Haaaa sema hudanganyiki mara mbili na minhuwa sirudiagi kutongoza ni kinyume.na kanuni za chama
Cc Asprin Mentor Vin Diesel
haya nishakuja baby ake..leta maneno..