Utawasuluhishaje Flora na Ema Mbasha?

Utawasuluhishaje Flora na Ema Mbasha?

kamu zisi wei ulinde dengue

When i wented to school for fighting dengue me was good. In class number one no missing but now very kilometers from dar. Bring fastjet that i come that way and kill mosquito of dengue quickly!
 
haa haa haa best majanga tu..nitatoaje wa ushauri kueleweka mimi mwenyewe yangu yananishinda...ila best ujue yule mume ni hb sana..frola ajiandae tu kisaikolojia kuibiwa..
Aibiwe mara ngapi mbakaji yule..cheche moto mtungi yule hatari,bora mi nawe tusiokuwa na mume...(sina uhakika na wewe kama huna,nimelopoka tu)
 
When i wented to school for fighting dengue me was good. In class number one no missing but now very kilometers from dar. Bring fastjet that i come that way and kill mosquito of dengue quickly!
Hebu rudi tena shule maana sioni kitu hapo... zee zee zee zati zati ....peleka huko
 
When i wented to school for fighting dengue me was good. In class number one no missing but now very kilometers from dar. Bring fastjet that i come that way and kill mosquito of dengue quickly!

Ulisoma shule gani asee. Unajidhihirisha kweli wewe Chizi fureshi
 
Aibiwe mara ngapi mbakaji yule..cheche moto mtungi yule hatari,bora mi nawe tusiokuwa na mume...(sina uhakika na wewe kama huna,nimelopoka tu)

shost nashangaa coz kwenye show ya sporah walijigamba sana kwamba kwenye ndoa yao no cheating..mweeh nimeamini kweli usiuseme moyo...
 
shost nashangaa coz kwenye show ya sporah walijigamba sana kwamba kwenye ndoa yao no cheating..mweeh nimeamini kweli usiuseme moyo...
uongo mtupu..ila hii aibu sio kwa mume tu hata mke ,maana kama walikuwa wanaugomvi miaka mingi sisi wote tutajua walikuwa wanaishije..
Jamaa kachemka sana yani kama ni shetani kweli kamtumbukiza pabaya baba mwinjilisti muimba kwaya
 
shost nashangaa coz kwenye show ya sporah walijigamba sana kwamba kwenye ndoa yao no cheating..mweeh nimeamini kweli usiuseme moyo...

Ndoa ilikua changa kipindi hicho! Waambie wenye ndoa inayoanzia miaka 8 na kuendelea watatoa majibu mazuri!....
 
uongo mtupu..ila hii aibu sio kwa mume tu hata mke ,maana kama walikuwa wanaugomvi miaka mingi sisi wote tutajua walikuwa wanaishije..
Jamaa kachemka sana yani kama ni shetani kweli kamtumbukiza pabaya baba mwinjilisti muimba kwaya

Popote alipo shetani ni pabaya...
 
uongo mtupu..ila hii aibu sio kwa mume tu hata mke ,maana kama walikuwa wanaugomvi miaka mingi sisi wote tutajua walikuwa wanaishije..
Jamaa kachemka sana yani kama ni shetani kweli kamtumbukiza pabaya baba mwinjilisti muimba kwaya

Usiwacheke wala kuwazomea...... utaolewa na wewe labda mume wako atokee Mars ataweza kuwa tofauti!.... Ndoa nyingi zipo hivyo sema ya Flora inaonekana sababu ni ya star
 
Usiwacheke wala kuwazomea...... utaolewa na wewe labda mume wako atokee Mars ataweza kuwa tofauti!.... Ndoa nyingi zipo hivyo sema ya Flora inaonekana sababu ni ya star
nikiona haya majanga ya ndoa hata moyo wa kuwaza ndoa unapata ganzi....ofcz sijacheka wala kuzomea mkuu,
 
nikiona haya majanga ya ndoa hata moyo wa kuwaza ndoa unapata ganzi....ofcz sijacheka wala kuzomea mkuu,

Waza maisha pambana na umasikini, ndoa ikija shukuru! Mabinti tunakosea sana kuweka too much expectation kwenye ndoa! Kwamba itakupa raha ya ajabu, kwamba dhiki zimepata mtatuzi, kwamba utapendwa na kujaliwa kuliko wanawake wote duniani, kwamba maisha yatakuwa fairy tale.
Ukiingia kwenye ndoa ukikuta sivyo lol taharuki na kuchanganyikiwa na kupoteza mwelekeo mzima wa destiny yako! Be Care!
 
Waza maisha pambana na umasikini, ndoa ikija shukuru! Mabinti tunakosea sana kuweka too much expectation kwenye ndoa! Kwamba itakupa raha ya ajabu, kwamba dhiki zimepata mtatuzi, kwamba utapendwa na kujaliwa kuliko wanawake wote duniani, kwamba maisha yatakuwa fairy tale.
Ukiingia kwenye ndoa ukikuta sivyo lol taharuki na kuchanganyikiwa na kupoteza mwelekeo mzima wa destiny yako! Be Care!

Umewachana sana wengi wao
 
Waza maisha pambana na umasikini, ndoa ikija shukuru! Mabinti tunakosea sana kuweka too much expectation kwenye ndoa! Kwamba itakupa raha ya ajabu, kwamba dhiki zimepata mtatuzi, kwamba utapendwa na kujaliwa kuliko wanawake wote duniani, kwamba maisha yatakuwa fairy tale.
Ukiingia kwenye ndoa ukikuta sivyo lol taharuki na kuchanganyikiwa na kupoteza mwelekeo mzima wa destiny yako! Be Care!

ni kheri wanawake wote wangelijua hili, hasa wadada wanaomaliza vyuon i.e "finalist", wako desperate sana.
 
Back
Top Bottom