Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Tatizo Unatongoza Watoto Wa Shule Ya Msingi.Hawana Gharama Ukimpa Buku Ni Hela Ya Kununulia Achikilimu Mwezi Mzima
 
Nikweli mr. kayimukaa tokea nianze uhusiano nae mwezi wa kumi mwaka jana hela mpaka mimi ndo niamue kumpa kwa kumuonea huruma kama rafki yangu
 
Nikweli mr. kayimukaa tokea nianze uhusiano nae mwezi wa kumi mwaka jana hela mpaka mimi ndo niamue kumpa kwa kumuonea huruma kama rafki yangu

mh! kuna watu wana mbwembwe...et kwakumuonea kama rafiki yangu!
shituka brother, usipotimiza majukumu yako jua unamwenzako!!!!
 
1. Mpenzi wako anafanya kazi au ana any source of income?
2. Kuna uwezekano kuwa wazazi wanamsupport vya kutosha?
3. By nature hana makuu na anaridhika na kidogo anachopata?

Suala la msingi balance matumizi yake na vitu anavyomiliki kwa upande mmoja na pesa unazompa ukijumlisha na chochote au vyote katika matatu hapo juu kwa upande mwingine..hesabu ikibalance mshukuru mungu.

Upande wa kushoto (matumizi na possessions) ukiwa mkubwa jua kuna kidume kinakusaidia

Upande wa kulia ukiwa mkubwa...mh..hapo itabidi ukamuone Lecturer mmoja anaitwa Eric Mwambuli pale IFM
 
Hebu tuongee kweli pesa ina thamani gan ktk mapenzi bora kuridhika na maisha jamani kwangu mim pesa ni extra thing maneno matam ya mpenz wangu pamoja na uwepo wake vinatosha kabisa kunipa furaha si kila mwanamke ni ombaomba jamani wengine wanawapima waume zao kuona kama wanajali.Ila pesa si kipimo cha upendo.
 
Sipendezwi kumuona mwanaume ambaye awezi kujilisha yeye mwenyewe anatafuta msichana kwa ajili ya kuanzisha mahusiano.
Anamtaka msichana awe mpenzi wake lakini hana pesa.
Nashauri, ni vyema mtu ambaye hana pesa awe busy kutafutae pesa kwanza ili ku add his value na kuacha kuwa a romantic nuisance.

Sinaga time nao wanawake wapenda fedha...!
 
Embu tusaidiane mawazo kwa hili wana jamvi, hivi kati ya mapenzi ya kweli na pesa ni ipi nguzo kuu katika mapenzi ya siku hizi.

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Mapenzi ni jambo moja, pesa ni jambo lingine. Unapovutiwa na mtu kwa mara ya kwanza ni bado hujajua ana pesa au hana. Mpaka ukishakaa nae kwa muda. Kwa hiyo mapenzi huanza pesa hufuatia. Lakini japo maisha siyo kutesa kila siku lakini pesa ndiyo kila kitu.
 
nahisi vyote vinajitegemea..inategemea mtu na mtu..ukimpata mpenda pesa mambo yateendeshwa kipesapesa..ila kwa wengine pesa ni bonus tu kwenye mapenzi
 
We komaa kusema mapenz n pesa utaishia kuwahonga wanaume wenzio kupitia gal Wako.. We mpe hela akahonge wenye ufundi wao

Hii slogan huwa inanifanya niwe mchoyo sana.

Kutoa ni moyo,ila kwa hili mi ntatumia maini mpaka naingia kaburini.sina moyo.
 
Embu tusaidiane mawazo kwa hili wana jamvi,
Hivi kati ya mapenzi ya kweli na pesa ni ipi nguzo kuu ktk mapenzi ya cku hizi...???

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Nakupa hongera kwa utunzaji wa simu!!!
 
Back
Top Bottom