Girls / Ladies, this is 2015 hebu sasa muache hii tabia ya pesa pesa pesa... za kupewa na wanaume. Tamaa mbaya. Mnajidhadhalisha. Kuna wengi wamedhalilishwa pia na wanaume sababu ya kupenda pesa kupita kiasi. Credit ya simu upewe, za nywele upewe, kucha upewe, fuel for car upewe, service ya gari upewe na gari uoshewe, come-on..... na mazagazaga mengine kibao. Bado hapo hujamuhusisha kwenye majukumuu ya familia yako, hajakuoa... This is too much...!!!! msomi na degree kichwani, kazi nzuri lakini kutwa kuomba omba, hebu acheni hizo na nyie. mkitoka pia unataka ulipiwe kama ni chakula au kinywaji. Kesho akitutema mnakuja kulia lia hapa... basi ombeni vitu vya maana.. kama unaona mtu wako ana uwezo huo e.g. "nimeona kiwanja, naomba niongezee maana nimepungukiwa", kama unajenga, omba hata pesa ya mchanga cement, matofali... n.k. vitu vya maana sio pesa ya kodi na pesa za salon. Ina maana wewe maisha yako yote ni kupanga nyumba na kujiremba? kwa style hiyo nani atakuweza. Na nyie wakaka / wababa hebu amkeni sasa acheni kutoa hivyo visenti mbuzi. atanuna tu usipompa lakini mwisho wake ataongea.[/QUOTE]
bado nikuomba pesa sema matumizi tu yanatofautiana ............ pesa muhimu kuomba hata uwe nazoi pesa ya mwanaume tamu bwana