Madam Mwajuma
JF-Expert Member
- Sep 13, 2014
- 7,076
- 6,774
mi awe romantic anajua kujali aaaahhhhk, hela kidogo ya matumizi sio empty kabisa
Hapo umenena,mapenzi yanakua proved na pesa ,sa mtu anakuuliza umekula???what for kama hufinance msosi wenyewe?au nakupenda mara 60 kwa siku while vitendo huoni,to hellmi awe romantic anajua kujali aaaahhhhk, hela kidogo ya matumizi sio empty kabisa
Embu tusaidiane mawazo kwa hili wana jamvi,
Hivi kati ya mapenzi ya kweli na pesa ni ipi nguzo kuu ktk mapenzi ya cku hizi...???
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Hakuna mapenzi ya kweli bila pesa
We komaa kusema mapenz n pesa utaishia kuwahonga wanaume wenzio kupitia gal Wako.. We mpe hela akahonge wenye ufundi wao
Mapenzi ya kweli ni nini?
Dia asikuambie mtu mapezi ya kweli bila pesa hakunaga.
Mapenzi ya kweli enzi hizo ni kuvumiliana kwenye shida na raha na kutokusalitiana izo ni enzi za mababu zetu miaka ya 1960 urudi nyuma.
Kwa miaka ya sasa mapenzi ya kweli ni kutokusalitiana baaasi na kujalianaa kwenye shida na raha i gt a problem unatakiwa unisaidie.
Kwa nini nimesema hakuna mapezi ya kweli bila pesa?
Pesa sio mapenzi lakini zinang'arisha mapenzi. Wew huwezi niambia umeoa huna hela basi mkumbatiane mlale njaa kisa mnapendana.
Cha zaidi utavumiliwa siku ya kwanza na ya pili siku ya tatu mtalala mzungu wa nne siku ya tano atafungasha arudi kwao...
Kubali kataa hapana true love bila neema ya chapaaa
Hizo post zote umeandika wewe?
Hakika....kwan vip
Unajua unaandika nini?
Yaani unakielewa unachokiandika?
Ndio...why not