Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Kaka unaweza kukosa mpenzi wa kweli na ukaishia kupata sex partners na ukadhani ndio penzi lenyewe ukisha kuwa na PESA tofautisha na hela ya matumizi!!!Game inabadilika utakutana na wenye pesa wenzako ambao hawajali kitu kinaitwa mapenzi wao wanataka hapiness na freedom baas!!!

Angalia mifano ya masuperstar wengi achana na hawa wa hapa kwetu "camera popular" wengi wanashindwana!!!!

Omba upate mpenzi akukubali ulivyo halafu ndo mpunga uchanue,hapo ni kuandika wishes na kuanza kutimiza tuu!!!!

umenena ndg yangu OLESAIDIMU, sina cha kuongeza mkuu
 
Last edited by a moderator:
Hilo jina ulilompachika huyo kijana "Daido..." hata halipendezi. Nadhani si vyema!
 
Wachezaji wa mpira ni vigumu kuwa na hao macelebrety kwasababu: 1.Kazi ya mpira ina muda mchache wa ''kupale''
2.Jukwaa la kumkutanisha Wema na Kavumbago ni gumu kulipata.
3.Wanaogopa kujiharibia, Mfano; Kuzomewa uwanjani.
 
Ulimbukeni fanya kazi kwa bidii basi sio eti sababu ya penzi uliona wapi penzi la kweli likinunuliwa kama sio kutafuta dhahama.mnajidanganya sana nyie.

Wewe ndiyo unanijidanganya Mama!

Mwenye pesa hatongozi kwa maneno yetu sijui I love you;Akigundua unaenda job kwa daladala jioni anamtuma mtu akuletee Audi Quatro mpya na anampa huyo aliyemtuma akueleze sehemu anayokaa!

Utadamka lukwiriii kumfuata alipo!Pesa ndiyo mapenzi!
 
Pesa sio mapenzi wala hatuhitaji kubishana.Huwezi nunua mapenzi ya kweli ila tunaweza nunua ngono.

Wewe ndiyo unanijidanganya Mama!

Mwenye pesa hatongozi kwa maneno yetu sijui I love you;Akigundua unaenda job kwa daladala jioni anamtuma mtu akuletee Audi Quatro mpya na anampa huyo aliyemtuma akueleze sehemu anayokaa!

Utadamka lukwiriii kumfuata alipo!Pesa ndiyo mapenzi!
 
Haya ni maneno yangu:
Mwanamke asije kwangu kwa sababu ya hela

Wanaofanya hivyo ni makahaba

Mwanamke anaejiheshimu hawezi kumkubali mwanaume kwa sababu ya hela,huko ni kujiuza

Mwanamke anaejitambua hawezi kufanya haya

Nawaambieni,mwanamke yeyote yule atakae fuata hela kwa mwanaume mwisho wa siku huzikimbia

Binadamu ni zaidi ya hela

Mahusiano na mapenzi ni zaidi ya hela!!!!!!!!


mahusiano na hela ni kama mtu na mamaye, hata ufanyeje cant separate
 
Pesa sio mapenzi wala hatuhitaji kubishana.Huwezi nunua mapenzi ya kweli ila tunaweza nunua ngono.

""Pesa sio mapenzi "",Kauli ya zamani sana hiyo dada Chauro!

Tunawajua watu tena wengi tu wana pesa zao na ndoa yao imejengwa kwa misingi ya pesa zao na ndoa zimedumu kweli kweli!

Ukiwa na pesa ndoa yako haiwezi yumba unless otherwise wote wana ndoa muwe na pesa mlizotafuta kabla HAMJAOANA au mwenye pesa aamue kuivunja ndoa!
 
Sipendezwi kumuona mwanaume ambaye awezi kujilisha yeye mwenyewe anatafuta msichana kwa ajili ya kuanzisha mahusiano.

Anamtaka msichana awe mpenzi wake lakini hana pesa.

Nashauri, ni vyema mtu ambaye hana pesa awe busy kutafutae pesa kwanza ili ku add his value na kuacha kuwa a romantic nuisance.
 
Lakini anaweza akazitafuta hizo pesa kwa jimama au mdada yeyote mwenye hela.

Kwa namna hiyo akawa anakula penzi huku anatafuta hela
 
Kwa hiyo kivingine unashauri aanza kupiga pull, kama asipopata hela mapema si mkono mmoja utakuwa mkubwa kama konda wa kipanya maana kila mara anatumia mkono mmoja kufungua mlango
 
Sipendezwi kumuona mwanaume ambaye awezi kujilisha yeye mwenyewe anatafuta msichana kwa ajili ya kuanzisha mahusiano.
Anamtaka msichana awe mpenzi wake lakini hana pesa.
Nashauri, ni vyema mtu ambaye hana pesa awe busy kutafutae pesa kwanza ili ku add his value na kuacha kuwa a romantic nuisance.

Washasikia mzee. Tuliza munkari sasa
 
Sipendezwi kumuona mwanaume ambaye awezi kujilisha yeye mwenyewe anatafuta msichana kwa ajili ya kuanzisha mahusiano.
Anamtaka msichana awe mpenzi wake lakini hana pesa.
Nashauri, ni vyema mtu ambaye hana pesa awe busy kutafutae pesa kwanza ili ku add his value na kuacha kuwa a romantic nuisance.

Ki-theory = 100/100!
In practise 5/100!
Hivi ni kweli mtu akose pesa na pia akose penzi?
Atakua yupo duniani au wapi?
Hapa siongelei wavulana wavivu! Kuna wavulana wanajitahidi sana kutafuta ila ndio hivyo atoae ni Mola, sidhani kama inapendeka wakikosa wa kuwaliwaza!
Then "....KUPATA SI UHODARI WALA SI KUJUA SANA...."
Mi nahis penzi la m/ke mwenye akili na busara linahitajika kwa Wenzangu na mie!
MNYONGE MNYONGENI ILA HAKI YAKE MPENI!
 
Ni kweli ulichoongea, ila kwa vijana wa sasa wasioweza kutuliza hashki zao hawawezi kukuelewa. Kha! Mwanaume unakua kama mbuzi jamani, yaani zikipanda tu unatafuta
 
Sipendezwi kumuona mwanaume ambaye awezi kujilisha yeye mwenyewe anatafuta msichana kwa ajili ya kuanzisha mahusiano. Anamtaka msichana awe mpenzi wake lakini hana pesa. Nashauri, ni vyema mtu ambaye hana pesa awe busy kutafutae pesa kwanza ili ku add his value na kuacha kuwa a romantic nuisance.
admin, we gunia kweli, freemason nini? unadhamini hela kuliko mapenzi? hahaha, bora kulia kwenye prado kuliko kucheka kwenye toyo sio?
 
Back
Top Bottom