icca
Senior Member
- Nov 8, 2014
- 187
- 177
We komaa kusema mapenz n pesa utaishia kuwahonga wanaume wenzio kupitia gal Wako.. We mpe hela akahonge wenye ufundi wao
Nakupendaga bure tu,
We komaa kusema mapenz n pesa utaishia kuwahonga wanaume wenzio kupitia gal Wako.. We mpe hela akahonge wenye ufundi wao
Hizo post zote umeandika wewe?
Unajua unaandika nini?
Yaani unakielewa unachokiandika?
Hongera......
Wanawake bana mnafurahisha sana na kushangaza at the sane time ....
Ufundi ulishawahi kusaidia kwenye mahusiano yapi?
Kwenye mahusiano kuna kitu mnakihitaji lakini bado hamjakijua tu nyie .....
Waliofanikiwa wametulia angalau,kama hujui unataka nini utatangatanga dunia nzima japokuwa utakutana na hao unaoita mafundi ......
Wake up ...!!
Hii slogan huwa inanifanya niwe mchoyo sana.
Kutoa ni moyo,ila kwa hili mi ntatumia maini mpaka naingia kaburini.sina moyo.
mi awe romantic anajua kujali aaaahhhhk, hela kidogo ya matumizi sio empty kabisa
We komaa kusema mapenz n pesa utaishia kuwahonga wanaume wenzio kupitia gal Wako.. We mpe hela akahonge wenye ufundi wao
Shikamoo madame lavuuu huu machi moa endi moa ageniiiiii!
Via uvinza road!
Sijatumwa mbona ha ha ha
Ahhha naona aibu kupokea shikamoo yako hahhha love u more
Hilo Ni kuhusiana na wewe nilishaamka kitambo na najua nini nafanya nini nataka
hahahahahha unigeuze lambalamba tena hii kali nakwambiau deserve smthng better mamaaaaaaaaaa
unafaa kugeuzwa lamba lamba mashalaaaaah
Maskini watapendwa mbinguni, duniani biashara kwanza⇩⇩⇩