hazole1
JF-Expert Member
- Jan 3, 2015
- 4,319
- 3,919
tatizo wanawake wa siku hizi unakuta anawaza awe na maisha mazuri wakati huo hana kazi kwahiyo ww ukijishoboa inabidi ww ndio umtimizie ndoto zake zote halafu kwa mda mchache sana siku akikwambia ninulie kitu flani ukisema hela sina utasikia mm nilkua nakujalibu tu kama unanipenda basi mahusiano yanaweza kuuishia hapo kama huna pesa mapenzi hayawezi kuonekana