Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

yaaani siku hizi mwanaume kama huna hela wanawake wazuri na warembo utabaki kuwaita mashemeji tu... hivi sababu hasa ni nini ... ni ulimbukeni wa wanawake au ni ugumu wa maisha!?

Kama huna hela kwa nini utafute mwanamke? Anahitaji kula,kuvaa,kwenda salooon kujirembua,kulala pazuri n.k kote huko kunahitaji hela.

Hela kama huna usilaumu wanawake laumu upumbavu wako uliosababisha uwe lofa usiyekuwa na hela.Katafute hela kwanza ukipata ndio ukatafute mwanamke vinginevyo nunua kufuli kubwa funga hilo dude lako lililo katikati ya mapaja usubiri hadi upate hela.
 
NAIJA+BOY.JPG
 
Jukumu la mwanaume kumhudumia mwanamke lilianza tangu kuumbwa kwa dunia tofauti ni kwamba...zamani mahitaji yalikuwa yanapatikana bure sasa hivi mahitaji yanapatikana kwa kubadilisha na vipande vya sarafu........
 
Bahati mbaya mioyo yetu haina macho lakini inaona mbali sana.....kamwe huwezi kulificha penzi la dhati kutoka moyoni mwako..ni kama vile kuliziba jua na kipande cha kaniki.....moyo inapofanya chaguo basi mwili hauna budi kufuata.......otherwise utajisababishia madhala makubwa sana..kimwili na kiakili na hatimaye kifo....
 
Mwanamke anapendwa kutunzwa,ila sidhani kama anakua anapenda pesa bali matumizi ya pesa,ila inawezekana kabisa kumpenda mtu asie na pesa,tatizo lazima itafikia hatua atataka ugharamike juu yake,hapo sasa ndo utata unapoanza!
 
mwanaume pesa wewe sura hukohuko kwenye picha na tabia kwa wazazi wako. loo.

usipokuwa na hela maisha hayaendi. hivi unafikir ukiwa na sura ukienda buchani unaweza kusema "naomba kilo 3 za nyama mme wangu ni handsome" mkuu wa shule mpokee mtoto wangu aanze shule maana mme wangu ni handsome! ankara tuu
 
Ila wao sasa kwa kuomba wakikuona unazo hadi inakuwa kero,wewe msaidie lakini ngoma umuombe wewe akusaidie hapa ndio utamjua Hawa ni nani,uzuri wake hawa ni maua akikuringia we mwache tu subiri kama miaka 5 ipite na aanze kunyauka kama ua lililokosa maji msimu mzima hata ukimwambia kakate majani ya kulisha ng'ombe atakubali ili mradi umpe kampani.
 
Yaani siku hizi
mwanaume kama huna hela wanawake wazuri na warembo utabaki kuwaita
mashemeji tu... hivi sababu hasa ni nini ... ni ulimbukeni wa wanawake
au ni ugumu wa maisha!?

wew hupend hera? unataman jinsi ya ku escow bas tu huna chance. mwanaume hera uzuri kapigie picha
 
Back
Top Bottom