Ukiwa na hela unampata mwanamke umtakae, swala ni kiwango tu na class yako. Swala la kupata akupendae "kiukweli" (whatever that means) ukiwa na hela ni vigumu sana kujua mpaka pale utakapokua huna.
Lakini hakuna raha kama umapte mwanamke kabla hujawa na hela nyingi, au mkawa sawa, au kakupita halafu baada ya mda wewe mwanaume ukaanza kuwa na hela zaidi yake halafu uwe umempenda!
Aisee uta enjoy maisha sana! Mapenzi + Hela = Ultimate Happiness!
Ila tu kidume usianze dharau za kutaka kum replace mamaa!