segere
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 539
- 262
Kama huna hela kwa nini utafute mwanamke? Anahitaji kula,kuvaa,kwenda salooon kujirembua,kulala pazuri n.k kote huko kunahitaji hela.
Hela kama huna usilaumu wanawake laumu upumbavu wako uliosababisha uwe lofa usiyekuwa na hela.Katafute hela kwanza ukipata ndio ukatafute mwanamke vinginevyo nunua kufuli kubwa funga hilo dude lako lililo katikati ya mapaja usubiri hadi upate hela.
Mmmh!!! hatarii.