we si unamke..uliemwekea video camera kwenye ceiling board ama ulitunga ile story
umeona eh jamaa ni mwandishi wa stori wa RJ Company
we si unamke..uliemwekea video camera kwenye ceiling board ama ulitunga ile story
we si unamke..uliemwekea video camera kwenye ceiling board ama ulitunga ile story
Alitunga na ati anachapwa kibao cha usoni. Majanga na kutungawe si unamke..uliemwekea video camera kwenye ceiling board ama ulitunga ile story
umeona eh jamaa ni mwandishi wa stori wa RJ Company
Alitunga na ati anachapwa kibao cha usoni. Majanga na kutunga
umeshaambiwa anaela tayari ww mbna mgumu kuelewa bwanahHuyo anakuandaa kwa matumizi ya badae huku we ukimpa penzi la kitandani yupo anae mpa penzi la pesa.
mkono mtupu haulambwi wewe tafuta pesa
umeshaambiwa anaela tayari ww mbna mgumu kuelewa bwanah
Habari zenu?hamjambo wote?i hope you are all fine.isnt it? Ok,i'm fine too.Well,yes,yeah,well,yes,yes,ni kwamba mpaka sasa hivi siamini kwamba nimependwa na binti mrembo,mzuri na wakuvutia kwa sura na maumbile yake,mwenye kazi nzuri na ana drive,huku mimi kabwela wakutupwa kamshahara kangu hata laki sita hakafiki,kapikipiki kangu,kanaitwa "tembea na spana mkononi"kamechakaa ile mbaya,ila kwa ukabwela wangu wote huu nilionao,binti bado kaning'ang'ania kama ruba.Huwa namwambia kabisa,mama mimi sina hadhi yakuwa nawewe,yaani wewe ni next level,sitakumudu.Baada yakumwambia haya maneno,alinipiga kibao cha usoni,akitamka maneno haya"rubbish!sitaki nisikie unaongea maneno haya tena,mimi nimekupenda kama ulivyo,hebu jiamini mtoto wakiume,umependwa unaanza kujishtukia?Siku nyingine ukiongea maneno kama haya,utakiona cha mtemakuni".Dah!binti baada yakuzungumza maneno haya,niliona machozi yakining'inia mashavuni,nilimpangusa,na nikamwambia kwamba nimemuelewa,huku nikimvuta taratibu nakumtuliza kwenye kakifua kangu,ambako hakana swaga,ila ndo kamependwa hivyohivyo.Akili yangu iliruka,nikajihisi nipo ulimwengu mwingine,sikuamini nilichokiona kwani nimeokota dodo kwenye mkaratusi.I thank God the almighty kwa kuniona mimi mwanaume dhaifu,ambaye nimetendwa mara kadhaa,na mabinti wa mujini,a.k.a ma service suppliers.SEMA KWELI NITAKUWA MAKINI KULINDA PENZI LANGU.Sasa naona kama napaa,yaani we acha tu,mtoto ananipa mapenzi motomoto,mpaka nahc president yupo chini yangu,yaani ni ulimwengu mwingine kabisaaa.Mapenzi ya dhati,yana raha yake jamani.
Bora me mzito kuelewa kuliko wewe unaeshindwa kuandika lugha yako.
Habari zenu?hamjambo wote?i hope you are all fine.isnt it? Ok,i'm fine too.Well,yes,yeah,well,yes,yes,ni kwamba mpaka sasa hivi siamini kwamba nimependwa na binti mrembo,mzuri na wakuvutia kwa sura na maumbile yake,mwenye kazi nzuri na ana drive,huku mimi kabwela wakutupwa kamshahara kangu hata laki sita hakafiki,kapikipiki kangu,kanaitwa "tembea na spana mkononi"kamechakaa ile mbaya,ila kwa ukabwela wangu wote huu nilionao,binti bado kaning'ang'ania kama ruba.Huwa namwambia kabisa,mama mimi sina hadhi yakuwa nawewe,yaani wewe ni next level,sitakumudu.Baada yakumwambia haya maneno,alinipiga kibao cha usoni,akitamka maneno haya"rubbish!sitaki nisikie unaongea maneno haya tena,mimi nimekupenda kama ulivyo,hebu jiamini mtoto wakiume,umependwa unaanza kujishtukia?Siku nyingine ukiongea maneno kama haya,utakiona cha mtemakuni".Dah!binti baada yakuzungumza maneno haya,niliona machozi yakining'inia mashavuni,nilimpangusa,na nikamwambia kwamba nimemuelewa,huku nikimvuta taratibu nakumtuliza kwenye kakifua kangu,ambako hakana swaga,ila ndo kamependwa hivyohivyo.Akili yangu iliruka,nikajihisi nipo ulimwengu mwingine,sikuamini nilichokiona kwani nimeokota dodo kwenye mkaratusi.I thank God the almighty kwa kuniona mimi mwanaume dhaifu,ambaye nimetendwa mara kadhaa,na mabinti wa mujini,a.k.a ma service suppliers.SEMA KWELI NITAKUWA MAKINI KULINDA PENZI LANGU.Sasa naona kama napaa,yaani we acha tu,mtoto ananipa mapenzi motomoto,mpaka nahc president yupo chini yangu,yaani ni ulimwengu mwingine kabisaaa.Mapenzi ya dhati,yana raha yake jamani.
tinna cute my love
Huyo anakuandaa kwa matumizi ya badae huku we ukimpa penzi la kitandani yupo anae mpa penzi la pesa.