Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

sio lengo langu mnichangie PESA nataka mawazo yenu mnaosema mapenzi yanawezekana bila PESA sasa inapofikia hali hii nifanyeje?? ukiangalia hapo inahitajika PESA kuweka Mambo sawa,



Aliekuambia hvyo amekedanganya, money ndo kila kitu, ww tafuta tu wa level yako
 
Tunakwama Mara nyingi kwa sababu hatutaki kuwa sisi hailsi, tunapenda kuwa kama fulani na kuonekana na fulani, Mkuu jitathmni kama ulienda kimaigizo ana wajibu wa kudai hayo
 
Mwanamke akikupenda kweli anatakiwa 'akuheshimu'
na kukuheshimu ni pamoja na kujua uwezo wako ukoje na asilete
mahitaji ambayo anajua huwezi kutimiza....

mwanamke asiekuheshimu anakuumiza vipi kichwa?

umesema kweli mkuu heshima mhimu.. ila Hawa wa dot.com sijui kama wanaelewa somo anataka amiliki Samsung galaxy laki nne, hata babaake hana kisa kaona kwa rafikie.. ndo naomba ushauri wanaosema mapenzi bila PESA yanawezekana hapa hufanyaje?
 
prove hili mkuu usijekuwa unanipa jakamoyo mimi, wakati mwenzangu unafurahia mahaba..
Mkuu. Unaweza kuishi bila mpenzi. Hutakua na mapresha wala stress. siku ukijiskia ukame chukua buku10 nenda pale jolly chukua umtakae kisha jikatae. Mia
 
Jamani nimepatwa na mtihani ati nasema nampenda kila siku, lakini nashindwa kumsaidia wakati huu anahitaji msaada wangu zaidi? mapenzi gani haya''! nashindwa hata kumnunulia Samsung galaxy tuweze kuwasiliana whatsapp nashindwa kumpa hela ya shopping kama wenzie wanafanya shopping zizou fasion mlimani city yeye shopping yake machinga complex tuu, ati Mimi mwanaume gani mwanaume suruali? msaada unahitajika hapa Ndugu zangu kuokoa jahazi la mahaba...

Daah, ila we si Chesco mzee wa matunda? We mhonge maepo mixer maembe ng'ong'o nini fresh. Afya kwanza!
 
Aliekwambia mapenz hayahitaji pesa kakudanganya!!!
Thus why hao mashabiki waliokudanganya wamekimbiza ushabiki wao!
....
Let me tell u something,,,
Pesa inanafasi kubwa sana ktk maisha yetu!
Hakuna kiendacho bila pesa! Just think ktk familia yenu tu! Hakuna wakubwa wanaoonekana wadogo coz of manee?
Hakuna wadogo wanaoonekana wakubwa coz of manee?!!!
...
Pesa inayohitajika katika penzi(not about husband and wife) ni LAZIMA izingatie hali ya MTOAJI + hali ya MPEWAJI!
Huwezi kukachukua katoto ka watu kamezoea raha,
kamezoea pesa,
kamezoea vitu vya thamani! Afu wewe mbuturi matari unataka kawe kapenzi kako hako!
Na ikiwa huyo ke mwenyewe kwao pangu pakavu! Hapa penzi bila pesa haliendi kabisaaaaa!
But huyu akikudai mambo makubwa harrrrraka sana weka kwenye dustbin!!!!
Mi nilijua anataka vitu muhimu eg: matibabu or masomo! Pumba.v zake!
Haya achana na pasua kichwa huyo!
 
Aliekwambia mapenz hayahitaji pesa kakudanganya!!!
Thus why hao mashabiki waliokudanganya wamekimbiza ushabiki wao!
....
Let me tell u something,,,
Pesa inanafasi kubwa sana ktk maisha yetu!
Hakuna kiendacho bila pesa! Just think ktk familia yenu tu! Hakuna wakubwa wanaoonekana wadogo coz of manee?
Hakuna wadogo wanaoonekana wakubwa coz of manee?!!!
...
Pesa inayohitajika katika penzi(not about husband and wife) ni LAZIMA izingatie hali ya MTOAJI + hali ya MPEWAJI!
Huwezi kukachukua katoto ka watu kamezoea raha,
kamezoea pesa,
kamezoea vitu vya thamani! Afu wewe mbuturi matari unataka kawe kapenzi kako hako!
Na ikiwa huyo ke mwenyewe kwao pangu pakavu! Hapa penzi bila pesa haliendi kabisaaaaa!
But huyu akikudai mambo makubwa harrrrraka sana weka kwenye dustbin!!!!
Mi nilijua anataka vitu muhimu eg: matibabu or masomo! Pumba.v zake!
Haya achana na pasua kichwa huyo!

Niliwahi kuona thread humu ati mapenzi hayajali PESA sasa mbona kwenye changamoto za PESA kama hii yangu sioni watu wakielezea namna ya kumpenda mtu huyu.. Naona nashauriwa kuachana na mpenzi wangu ama wengi wasema sipendwi..
 
Back
Top Bottom